Waandishi waombwa kuwania tuzo za uandishi bunifu 2024-2025

Waandishi bunifu nchini, wameombwa kuendelea kuwasilisha miswada kwa ajili ya kushindania Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kwa Mwaka 2024/25 . Mwenyekiti wa kamati ya Taifa inayosimamia utoaji wa Tuzo ya Taifa ya Uandishi Ubunifu ya Mwalimu Nyerere Prof. Penina Mlama amezungumza na waandishi wa habari leo Septemba 3, 2024 na kuwaeleza…

Read More

Yametimia, Dabo afungishwa rasmi virago Azam

Bodi ya wakurugenzi ya Azam FC imefikia makubaliano ya pande mbili na aliyekuwa kocha wa Azam Fc Youssouph Dabo ya kutoendelea kufanya kazi naye kuanzia Septemba 3, 2024. Taarifa iliyotolewa na idara ya habari na mawasiliano ya klabu hiyo imeeleza Dabo aliyehudumu kwenye kikosi hicho kwa mwaka mmoja na kuifanya timu hiyo kumaliza katika nafasi…

Read More

WAZIRI MCHENGERWA AAGIZA DART KUBORESHA UTOAJI WA KADI JANJA KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ameiagiza Wakala wa Mabasi yaendayo kwa Haraka (DART) kuhakikisha wakazi wa Dar es Salaam wanapata kadi janja kwa urahisi na kuanza kuzitumia kwa usafiri wa mabasi ya mwendokasi. Maelekezo haya yalitolewa wakati wa uzinduzi wa matumizi ya mageti janja…

Read More

KISARAWE WASISITIZWA KUTUMIA WATOA HUDUMA RASMI WA FEDHA

Na. Saidina Msangi, WF, Kisarawe, Pwani. Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mhe. Petro Magoti amewaasa watoa huduma za fedha wilayani humo kuhakikisha kuwa wamesajiliwa kwa kufuata sheria za Serikali ili waweze kutoa huduma za fedha wilayani humo. Mhe. Magoti ametoa rai hiyo alipokutana na Timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Fedha waliofika wilayani hapo kutoa…

Read More

SERIKALI YARIDHIA KUTOA HEKTA 2,871 KWA WANANCHI WA KISIWA CHA MAISOME – MWANAHARAKATI MZALENDO

Serikali ya Tanzania imekubali ombi la wananchi wa Kisiwa cha Maisome kwa kuwapatia hekta 2,871.782 za ardhi kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya kijamii. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dunstan Kitandula, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa eneo hilo, Mhe. Eric James Shigongo, aliyependa kujua ni lini serikali itatekeleza ahadi…

Read More

SPIKA WA BUNGE, DKT. TULIA ACKSON, AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU MTEULE WA WHO KANDA YA AFRIKA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, alikutana na Mkurugenzi Mkuu Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile, tarehe 3 Septemba 2024, ofisini kwake Bungeni Dodoma. Katika mazungumzo yao, Dkt. Ndugulile alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa msaada wake wakati…

Read More

Marekani yakamata ndege ya Rais wa Venezuela

Marekani. Marekani imekamata ndege ya Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro ikidai ilinunuliwa kinyume cha sheria kwa Dola 13 milioni na kutoroshwa nje ya nchi. Rais huyo hakuwepo kwenye ndege wakati inakamatwa. Wizara ya Sheria ya Marekani, imesema ndege hiyo aina ya Falcon 900EX ilikamatwa katika Jamhuri ya Dominika na kuhamishiwa Jimbo la Florida nchini Marekani….

Read More