ONGEZEKO LA IDADI YA WATU WANAONYONGWA NCHINI IRAN LAZUA WASIWASI KWA WATAALAMU WA HAKI ZA BINADAMU – MWANAHARAKATI MZALENDO

Wataalamu huru wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa (UN) wameonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la idadi ya watu wanaonyongwa nchini Iran, ambapo zaidi ya watu 400 wamenyongwa mwaka huu pekee. Ongezeko hili linaibua taharuki miongoni mwa jamii ya kimataifa na wanaharakati wa haki za binadamu, hasa kwa kuzingatia kuwa mwezi Agosti 2024 pekee,…

Read More

Dk Ndugulile: Nimepewa miezi sita kujipanga WHO

Dar es Salaam. Mteule wa nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile amesema anatarajia kuanza kazi rasmi ifikapo Machi 2025, baada ya kupewa miezi sita kujipanga. Dk Ndugulile amesema hayo leo Jumanne, Septemba 3, 2024 wakati akitoa salamu za shukurani bungeni jijini Dodoma, baada ya kukaribishwa na…

Read More

Sh1.29 bilioni kutumika kulipa fidia wakazi 724 Kigoma

Dodoma. Jumla ya Sh1.29 bilioni zitatumika kuwalipa fidia wakazi 724 wakiwamo wa Muhambwe mkoani Kigoma wanaotakiwa kupisha ujenzi wa barabara kutoka Kibondo hadi Mabamba. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema hayo leo Septemba 3, 2024 wakati akijibu swali la msingi la mbunge wa Muhambwe (CCM), Dk Florence Samizi. Mbunge huyo amehoji ni lini Serikali itawalipa…

Read More

MOROGORO ASISITIZA UMUHIMU WA TAKWIMU

  Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Mussa Ali Mussa, amewataka Watanzania kutumia Takwimu rasmi katika mipango na shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kupunguza athari zinazotokana na kufanya mipango ya maendeleo bila kuzingatia takwimu. Dkt. Mussa aliyasema hayo wakati akifungua mkutano wa Kikanda, Kanda ya Pwani, kuhusu Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura No….

Read More

IDARA YA UHAMIAJI YA MULIKWA MAFUNZO MAREKANI, WASHIRIKI WATOA DIRA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO – MWANAHARAKATI MZALENDO

 kwa Shirikisho la askari wa kike na wasimamizi wa sheria duniani yameendelea katika Jiji la Chicago Nchini Marekani ambapo mada na masomo mbalimbali yameendelea ambapo suala la wahamiaji na changamoto zake kutokana na mabadiliko ya Sheria baina ya Nchi na Nchi likamulikwa na washiriki wakapata nafasi ya kubadilisha uzoefu namna ya kukamiliana na changamoto hizo….

Read More

RAS – MOROGORO ASISITIZA UMUHIMU WA TAKWIMU

Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Mussa Ali Mussa, akifungua Mkutano wa Kanda ya Pwani, uliyofanyika katika mkoa wa Morogoro, kuhusu Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura No. 410, Sheria ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi, Sura No 103 na matumizi ya Takwimu zinazozalishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu,…

Read More