
RAIS MHE. DKT. SAMIA ACHANGIA MILIONI 50 KANISA LA MENNONITE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akitoa hotuba kwa niaba ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Elimu Mkamba cha Kanisa la Mennonite Tanzania, Jijini Dar es salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya…