Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: September 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • Page 297
Habari

Simulizi ya msichana aliyesafiri kwa pikipiki nchi tisa Afrika

September 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Miezi takribani mitatu ilimtosha Ebaide Udoh (27), kukamilisha safari ya peke yake aliyoifanya kwa kutumia pikipiki kufika nchini Nigeria akitokea Kenya. Akiwa

Read More
Habari

Waliotoa ushahidi kesi ya ‘waliotumwa na afande’ wafikia 10

September 2, 2024 Admin

Dodoma. Mashahidi 10 wameshatoa ushahidi wao kwenye kesi ya jinai inayowakabili washtakiwa wanne wanaokabiliwa na mashtaka ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile,

Read More
Habari

Mhadhiri UDSM achaguliwa kuwania ubunge EALA

September 2, 2024 Admin

Dodoma. Kamati ya wabunge wa CCM imemchagua Gladnes Salema kukiwakisha chama hicho katika uchaguzi wa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) utakaofanyika Septemba 5,

Read More
Habari

UJUMUISHWAJI WA MASUALA YA JINSIA KATIKA SERA, SHERIA, MIPANGO NA PROGRAMMU MBALIMBALI KWENYE UTUMISHI WA UMMA NI HATUA MUHIMU KUFIKIA UIMARISHWAJI WA USAWA WA KIJINSIA

September 2, 2024 Admin

Na Veronica Mwafisi-Dodoma Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi amewataka Wakurugenzi wa Utawala na

Read More
Habari

Kipengele cha kuthibitisha mtoa rushwa, mpokeaji chang’olewa kwenye sheria

September 2, 2024 Admin

Dodoma. Changamoto za Serikali kushindwa kesi za uchaguzi, michezo ikiwamo ya kubahatisha na burudani, imepatiwa ufumbuzi baada ya kuondolewa kipengele cha kuthibitisha mtoa rushwa na

Read More
Habari

Scholz akiri matokeo ushindi wa AfD unatia wasiwasi – DW – 02.09.2024

September 2, 2024 Admin

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz ameyaita matokeo ya uchaguzi katika majimbo mawili yaliyokipatia ushindi mkubwa chama cha mrengo mkali wa kulia cha AfD kuwa yanayoumiza,

Read More
Habari

Mchungaji aitaka Serikali ipitie upya leseni za waganga wa kienyeji

September 2, 2024 Admin

Tabora. Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Lutengano Mwasongela ameishauri Serikali kupitia Wizara ya Afya kufanya mapitio ya leseni wanazotoa kwa waganga

Read More
Habari

WAHITIMU DARASA LA SABA MWANANYAMALA B WAASWA KUSOMA KWA BIDII KUTIMIZA NDOTO ZAO

September 2, 2024 Admin

Mgeni Rasmi ambaye ni Mejeja wa Fedha wa Barrick nchini, Penina Kitundu akimkabidhi cheti cha kuhitimu elimu ya msingi mmoja wa wanafunzi wa darasa la

Read More
Habari

Dk. Gwajima: Wanawake na wanaume wanategemeana

September 2, 2024 Admin

Na WMJJWM, Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dk. Dorothy Gwajima, amesema wanawake na wanaume wanategemeana katika kazi ili kuleta

Read More
Habari

Simulizi maisha ya ajabu ya mganga anayehusishwa na vifo vya kutisha

September 2, 2024 Admin

Dodoma/Singida. Ni safari ya kilometa 27 ndani ya eneo lenye miti mingi hadi kufika nyumbani kwa mganga wa kienyeji, Nkamba Kasubi anayedaiwa kuwauwa na kuwazika

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 296 297 298 … 311 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.