Simulizi ya msichana aliyesafiri kwa pikipiki nchi tisa Afrika

Dar es Salaam. Miezi takribani mitatu ilimtosha Ebaide Udoh (27), kukamilisha safari ya peke yake aliyoifanya kwa kutumia pikipiki kufika nchini Nigeria akitokea Kenya. Akiwa anaishi Kenya tangu mwaka 2022, aliamua kufanya safari hiyo kama sehemu ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kwenda katika ardhi ambayo alizaliwa na kuishi. Woga uliochanganyika na furaha ya kufanya…

Read More

Waliotoa ushahidi kesi ya ‘waliotumwa na afande’ wafikia 10

Dodoma. Mashahidi 10 wameshatoa ushahidi wao kwenye kesi ya jinai inayowakabili washtakiwa wanne wanaokabiliwa na mashtaka ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile, binti mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam. Mpaka Agosti 30, 2024 jumla ya mashahidi sita walikuwa wameshatoa ushahidi, akiwemo binti anayedaiwa kufanyiwa vitendo hivyo aliyetambulishwa mahakamani kwa jina…

Read More

Mhadhiri UDSM achaguliwa kuwania ubunge EALA

Dodoma. Kamati ya wabunge wa CCM imemchagua Gladnes Salema kukiwakisha chama hicho katika uchaguzi wa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) utakaofanyika Septemba 5, 2024 bungeni. Dk Gladnes, mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) amewashinda wapinzani wake wawili ambao ni Lucia Pande na Queenelizabeth Makune. Uchaguzi huo uliofanyika leo Jumatatu Septemba…

Read More

UJUMUISHWAJI WA MASUALA YA JINSIA KATIKA SERA, SHERIA, MIPANGO NA PROGRAMMU MBALIMBALI KWENYE UTUMISHI WA UMMA NI HATUA MUHIMU KUFIKIA UIMARISHWAJI WA USAWA WA KIJINSIA

Na Veronica Mwafisi-Dodoma Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi amewataka Wakurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wa Wizara pamoja na Waratibu wa Jinsia Ngazi ya Wizara kuweka mbinu za kuimarisha mfumo wa utoaji haki, kudhibiti uonevu, dhuluma, unyanyasaji na unyonyaji wa kijinsia pamoja…

Read More

Mchungaji aitaka Serikali ipitie upya leseni za waganga wa kienyeji

Tabora. Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Lutengano Mwasongela ameishauri Serikali kupitia Wizara ya Afya kufanya mapitio ya leseni wanazotoa kwa waganga wa kienyeji kwa lengo la kuhakikisha wanaopewa wanafanya yale yanayokusudiwa kwa mujibu wa sheria. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Septemba 2, 2024, Mwasongela amesema hivi karibuni mganga aliyekuwa akiishi mkoani…

Read More

Dk. Gwajima: Wanawake na wanaume wanategemeana

Na WMJJWM, Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dk. Dorothy Gwajima, amesema wanawake na wanaume wanategemeana katika kazi ili kuleta maendeleo endelevu. Waziri Dk. Gwajima amesema hayo wakati akifungua mkutano wa kwanza wa mtandao wa wanawake wa Jeshi la Magereza nchini, uliofanyika leo Septemba 02, 2024 jijini Dodoma. Amebainisha kuwa,…

Read More