Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: September 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • Page 298
Habari

Jumapili hapatoshi, kolabo la SBL na 1245


September 2, 2024 Admin

Ile Jumapili uliyoizoea ya kukaa kinyonge hatimaye imeondolewa kwenye kalenda, HAIPO TENA! Wakali wa muda wote wa kutengeneza na kusambaza pombe kali na bia nchini

Read More
Habari

Dk. Mpango afungua mkutano wa UNCCC

September 2, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Arusha Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango amesema unahitajika ufadhili unaozingatia jinsia, endelevu na wenye uwiano katika kupunguza na kukabiliana na mabadiliko

Read More
Habari

Watu 48 wauawa Gaza, zoezi la chanjo ya Polio laendelea – DW – 02.09.2024

September 2, 2024 Admin

Katika kipindi cha muda wa saa 24 zilizopita, mashambulizi ya Israel huko Gaza yamesababisha vifo vya Wapalestina wasiopungua 48 kufuatia mapigano na kundi la Hamas

Read More
Habari

Dk Mpango: Mapambano mabadiliko ya tabia nchi yawe jumuishi

September 2, 2024 Admin

Arusha. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema ni muhimu kuwa na usawa katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, huku akieleza Tanzania imeendelea

Read More
Habari

VODACOM YATANGAZA WASHINDI WA DRAW YA KAMPENI YA NI BALAA

September 2, 2024 Admin

Mkuu wa kanda ya Nyanda za Juu kusini wa Vodacom Tanzania Bw. Abednego Mhagama (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya Shilingi laki tano mshindi wa

Read More
Habari

Putin asifu kasi ya vikosi vyake dhidi ya Ukraine – DW – 02.09.2024

September 2, 2024 Admin

Akiwahutubia wanafunzi katika hafla iliyooneshwa kupitia televisheni katika jimbo la Siberia nchini Urusi, Putin alisema kuwa jaribio la Ukraine la kusitisha kusonga mbele kwa vikosi

Read More
Habari

TANZANIA IPO TAYARI KWA UWEKEZAJI UTAKAOONGEZA THAMANI YA MADINI NDANI YA NCHI

September 2, 2024 Admin

  WAZIRI wa Madini Mh. Anthony Mavunde amesema Tanzania inakaribisha wawekezaji wote wa madini mkakati na kuweka msisitizo kwamba uongezaji thamani wa madin hayo mkakati

Read More
Habari

China yawapokea viongozi wa Afrika katika mkutano wa kilele – DW – 02.09.2024

September 2, 2024 Admin

Beijing imesema kongamano la wiki hii kati ya China na Afrika litakuwa tukio kubwa zaidi la kidiplomasia tangu janga la Covid-19, huku zaidi ya viongozi

Read More
Habari

Kufanya mapenzi majini kunavyowaweka hatarini wavuvi kupata VVU

September 2, 2024 Admin

Nyasa. Baadhi ya wavuvi wa samaki na dagaa katika Ziwa Nyasa wilayani Nyasa, Mkoa wa Ruvuma wapo hatarini kupata magonjwa ya zinaa, ikiwemo Virusi vya

Read More
Habari

Kongamano la China- Afrika kuja na matokeo yenye tija? – DW – 02.09.2024

September 2, 2024 Admin

China imeongeza mahusiano yake na mataifa ya Afrika katika kipindi cha muongo mmoja uliiopita, ikiyamwagia mabilioni ya fedha kupitia mikopo ambayo imeyasaidia mataifa hayo kujenga

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 297 298 299 … 311 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.