Jumapili hapatoshi, kolabo la SBL na 1245


Ile Jumapili uliyoizoea ya kukaa kinyonge hatimaye imeondolewa kwenye kalenda, HAIPO TENA! Wakali wa muda wote wa kutengeneza na kusambaza pombe kali na bia nchini hawa si wengine bali ni Serengeti Breweries Ltd wakishirikiana na club inayobamba mjini 1245 wameigeuza Jumapili yako kuwa Ijumaa mpya. Unaambiwa sasa siku za Jumapili zitakuwa maalamu za kula bata…

Read More

Dk. Mpango afungua mkutano wa UNCCC

Na Mwandishi Wetu, Arusha Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango amesema unahitajika ufadhili unaozingatia jinsia, endelevu na wenye uwiano katika kupunguza na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati akimwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Mkutano wa 35 wa Kamati ya Kudumu ya Fedha ya Mkataba wa…

Read More

Dk Mpango: Mapambano mabadiliko ya tabia nchi yawe jumuishi

Arusha. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema ni muhimu kuwa na usawa katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, huku akieleza Tanzania imeendelea kusisitiza ujumuishaji wa masuala ya jinsia na mabadiliko kupitia sera, programu na mikakati kwenye ngazi zote. Dk Mpango amesema hayo leo Jumatatu, Septemba 2, 2024 jijini Arusha, alipofungua Jukwaa la…

Read More

Putin asifu kasi ya vikosi vyake dhidi ya Ukraine – DW – 02.09.2024

Akiwahutubia wanafunzi katika hafla iliyooneshwa kupitia televisheni katika jimbo la Siberia nchini Urusi, Putin alisema kuwa jaribio la Ukraine la kusitisha kusonga mbele kwa vikosi vya Urusi katika eneo la Donbass kwa kufanya mashambulizi katika eneo la Kursk halijapata ufanisi. Urusi yaishambulia Ukraine usiku kucha Putin amesema hayo saa chache baada ya Urusi kuishambulia Ukraine…

Read More