Dar es Salaam. Kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC), Mkoa wa Arusha, Marco Ng’umbi kuwa Serikali iliwezesha ushindi wa madiwani na baadhi
Month: September 2024

Kenya bado haijaidhinisha Mkataba wa Kimataifa wa Umoja wa Mataifa wa Ulinzi wa Watu Wote dhidi ya Kutoweka kwa Kulazimishwa. Mkopo: IPS na Robert Kibet

Dar es Salaam. Kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC), Mkoa wa Arusha, Marco Ng’umbi kuwa Serikali iliwezesha ushindi wa madiwani na baadhi

Shule ya Sekondari Mzimuni wakikabidhiwa zawadi ya Luninga, baada ya kuwa washindi katika sehemu ya Sanaa na Ubunifu katika mashindano ya Hazina Club yaliyowakutanisha wanafunzi

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima,akizungumza wakati akifungua mkutano wa kwanza wa mtandao wa wanawake wa Jeshi la

Songwe. Wakati Mwenge wa Uhuru ukizindua mradi mkubwa wa maji utakaowanufaisha wananchi zaidi ya 7,000 katika Kijiji vya Chimbuya, Kata ya Ukwile wilayani Mbozi Mkoa

NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.Mwanaidi Ali Khamis,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Septemba 4,2024 kuelekea Jukwaa

Dar es Salaam. Wanasema samaki mkunje angali mbichi, hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya wanafunzi wa sekondari nchini kupatiwa elimu ya fedha itakayowasaidia kuanzia sasa

Dar es Salaam. Ukitazama mwonekano wake unaweza kudhani ni nyumba lakini ni jokofu la mkaa (friji) maalumu kwa kuhifadhi mazao yanayoharibika mapema. Ni friji lililotengenezwa

Moshi. Polisi wameshindwa kufukua mwili unaodaiwa kuzikwa kimakosa katika kitongoji cha Dungi, Kijiji cha Kibosho Kindi, Wilaya ya Moshi, baada ya ndugu kudai hawana taarifa