Kauli ya DC Longido ilivyotonesha kidonda cha uchaguzi

Dar es Salaam. Kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC), Mkoa wa Arusha, Marco Ng’umbi kuwa Serikali iliwezesha ushindi wa madiwani na baadhi ya wabunge nchini katika uchaguzi uliopita, imetonesha upya kidonda cha madai ya mifumo ya sheria za uchaguzi ili viongozi wanaopatikana watokane na matakwa ya wananchi. Aidha, kauli hiyo imeelezwa inakwenda…

Read More

Maswali Yasiyo na Majibu ya Kenya Kuhusu Kutoweka Kwa Kulazimishwa – Masuala ya Ulimwenguni

Kenya bado haijaidhinisha Mkataba wa Kimataifa wa Umoja wa Mataifa wa Ulinzi wa Watu Wote dhidi ya Kutoweka kwa Kulazimishwa. Mkopo: IPS na Robert Kibet (nairobi) Jumatatu, Septemba 02, 2024 Inter Press Service NAIROBI, Septemba 02 (IPS) – Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kutoweka, Kenya inakabiliana na mgogoro wa kivuli na unaoendelea—kulazimisha kutoweka….

Read More

Kauli ya DC Ng’umbi ilivyotonesha kidonda cha uchaguzi

Dar es Salaam. Kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC), Mkoa wa Arusha, Marco Ng’umbi kuwa Serikali iliwezesha ushindi wa madiwani na baadhi ya wabunge nchini katika uchaguzi uliopita, imetonesha upya kidonda cha madai ya mifumo ya sheria za uchaguzi ili viongozi wanaopatikana watokane na matakwa ya wananchi. Aidha, kauli hiyo imeelezwa inakwenda…

Read More

MASHINDANO YA HAZINA SACCOSS CLUB YAWAKOSHA WANAFUNZI WA SEKONDARI NCHINI.

Shule ya Sekondari Mzimuni wakikabidhiwa zawadi ya Luninga, baada ya kuwa washindi katika sehemu ya Sanaa na Ubunifu katika mashindano ya Hazina Club yaliyowakutanisha wanafunzi kutoka Shule za Sekondari Kisutu, Kigogo, Turiani, Mzimuni, Migombani, Minazi Mirefu, Tambaza, Makumbusho, Kambangwa na Kinyerezi, za jijini Dar es Salaam, ambapo wameshindana kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu elimu ya fedha,…

Read More

WAZIRI DKT. GWAJIMA AFUNGUA MKUTANO WA WANAWAKE JESHI LA MAGEREZA

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima,akizungumza  wakati akifungua mkutano wa kwanza wa mtandao wa wanawake wa Jeshi la Magereza nchini, uliofanyika Septemba 02, 2024 jijini Dodoma. Na WMJJWM, Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema wanawake na wanaume wanategemeana…

Read More

Kijiji chapata huduma ya maji miaka 40 baada ya kuanzishwa

Songwe. Wakati Mwenge wa Uhuru ukizindua mradi mkubwa wa maji utakaowanufaisha wananchi zaidi ya 7,000 katika Kijiji vya Chimbuya, Kata ya Ukwile wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe, mkazi wa eneo hilo, Flonsia Mapumba amesema Serikali imenusuru ndoa zao. Mapumba amesema walikuwa wakitembea umbali mrefu kusaka maji na kutokana na umbali huo, wanawake wengi walikuwa wakiingia…

Read More

ZAIDI YA WASHIRIKI 2000 KUSHIRIKI JUKWAA LA MWAKA LA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI DODOMA

 NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.Mwanaidi Ali Khamis,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Septemba 4,2024 kuelekea Jukwaa la Mashiriki yasiyokuwa ya Kiserikali litakalofanyika kuanzia Septemba 4 hadi 6 mwaka  2024 jijini Dodoma. MSAJILI wa Mashiriki yasiyokuwa ya Kiserikali Bi.Vickness Mayao,akijibu maswali yaliyoulizwa  na waandishi wa habari (hawapo…

Read More

Wanafunzi sekondari wapatiwa elimu ya  fedha kuepuka mikopo ‘kausha damu’

Dar es Salaam. Wanasema samaki mkunje angali mbichi, hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya wanafunzi wa sekondari nchini kupatiwa elimu ya fedha itakayowasaidia kuanzia sasa na hata watakapokuwa watu wazima. Hatua hiyo inatokana na changamoto iliyopo ya Watanzania wengi kukosa elimu ya fedha, hususani mikopo hivyo kujikuta wakiangukia kwenye mikopo umiza yenye riba kubwa maarufu…

Read More

Friji la mkaa kuwakomboa wakulima Tanzania

Dar es Salaam. Ukitazama mwonekano wake unaweza kudhani ni nyumba lakini ni jokofu la mkaa (friji) maalumu kwa kuhifadhi mazao yanayoharibika mapema. Ni friji lililotengenezwa kwa kutumia mkaa na maalumu kwa ajili ya kutunza mazao yanayoharika haraka yanapotolewa shambani ili kuwaepusha wakulima wasipate hasara baada ya mavuno. Friji hilo hutumika katika kuhifadhi mazao ya mbogamboga…

Read More

VIDEO: Familia yagomea Polisi kufukua mwili bila kibali

Moshi. Polisi wameshindwa kufukua mwili unaodaiwa kuzikwa kimakosa katika kitongoji cha Dungi, Kijiji cha Kibosho Kindi, Wilaya ya Moshi, baada ya ndugu kudai hawana taarifa hiyo na kutaka waonyeshwe kibali cha kuwaruhusu kufanya hivyo. Mwili huo unaodaiwa kuwa wa Richard Shoo, aliyefariki dunia Juni 19, 2024 ulitakiwa kufukuliwa kwa ajili ya uchunguzi na vipimo vya…

Read More