
MABORESHO YA KIMFUMO, KIMUUNDO YA JESHI LA MAGEREZA KUNUFAISHA MAGEREZA YA UZALISHAJI MALI NCHINI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akisalimiana na baadhi ya Maafisa wa Jeshi la Magereza baada ya kufika katika Gereza la Kilimo na Ufugaji Kitai, Mbinga, Mkoani Ruvuma Septemba 29, 2024. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na baadhi ya maafisa wa Jeshi la Magereza Mkoa…