Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: September 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • Page 30
Michezo

Benki ya NBC Yaipamba Mzizima Derby Zanzibar, Yakabidhi Tuzo, Fedha kwa Mchezaji na Kocha Bora Mwezi Agosti.

September 27, 2024 Admin

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara, NBC Premiere League jana iliipamba mechi kati ya Azam

Read More
Habari

Watu 12 wafariki dunia na wengine 23 wakijeruhiwa ajali ya Fuso

September 27, 2024 Admin

Mbeya. Watu 12 wamefariki dunia na wengine 23 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea leo Septemba 27 wilayani Mbeya mkoani hapa. Ajali hiyo imetokea eneo

Read More
Habari

FURAHIA IJUMAA YAKO NA ODDS ZA KIBABE HAPA

September 27, 2024 Admin

MTEJA wa Meridianbet kama kawaida wikendi ndo hiyo inanukia ambapo Ijumaa ya leo mechi mbalimbali zinaendelea. Ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi lako sasa.

Read More
Habari

Atakayepiga ‘hole in one’ kuondoka na ndinga NMB CDF Trophy

September 27, 2024 Admin

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Mashindano ya gofu ya Kombe la Mkuu wa Majeshi ‘NMB CDF Trophy’ yanatarajiwa kufanyika Oktoba 4-6,2024, huku mchezaji atakayefanikiwa kupiga

Read More
Habari

Shigeru Ishiba atangazwa kuwa waziri mkuu mpya wa Japan – DW – 27.09.2024

September 27, 2024 Admin

Japan imepata waziri mkuu mpya leo baada ya chama tawala cha Liberal Democratic, LDP, kumchagua waziri wa zamani wa ulinzi Shigeru Ishiba kuwa kiongozi wake

Read More
Habari

Mwanafunzi aliyepotea bado giza nene

September 27, 2024 Admin

Arusha. Kitendawili cha kupatikana kwa mwanafunzi, Joel Johannes aliyepotea akiwa na wanafunzi wenzake waliopanda Mlima Kwaraa mkoani Manyara kwa ajili ya ziara ya mafunzo, bado

Read More
Habari

CHUO CHA UHASIBU ARUSHA CHAUNGANA NA MATAIFA MENGINE KUADHIMISHA SIKU YA UTALII DUNIANI

September 27, 2024 Admin

Chuo Cha Uhasibu Arusha kwa kushirikiana na kampuni ya Rethinking Tourism Africa wamefanya kongamano la maadhimisho ya siku ya utalii duniani leo September 27,2024 kwa

Read More
Michezo

Moussa Camara ajivunia mabeki visiki

September 27, 2024 Admin

KIPA wa Simba, Moussa Camara amezungumzia ubora wa ukuta wa timu hiyo unaongozwa na Fondoh Che Malone na Abdulrazack Mohamed Hamza kama sehemu ya kufanya

Read More
Habari

Ofisa kilimo Moshi atupwa jela kwa kumjeruhi binti wa kazi

September 27, 2024 Admin

Moshi. Ofisa Kilimo Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Ermina Marandu (40), amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kutiwa hatia kwa kumjeruhi msaidizi wake

Read More
Habari

RAIS DKT. SAMIA ASHUKURU BAADA YA KUSOMEWA DUA TUNDURU

September 27, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishukuru mara baada ya kusomewa  Dua katika Msikiti Mkuu wa Wilaya ya Tunduru,

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 29 30 31 … 311 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.