FURAHIA IJUMAA YAKO NA ODDS ZA KIBABE HAPA

MTEJA wa Meridianbet kama kawaida wikendi ndo hiyo inanukia ambapo Ijumaa ya leo mechi mbalimbali zinaendelea. Ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi lako sasa. Ligi kuu ya Hispania LALIGA inatarajiwa kurindima leo kwa mchezo mmoja huku mwenyeji Real Valladolid baada ya kupoteza mchezo wake uliopita atakipiga dhidi ya Mallorca majira ya saa nne usiku….

Read More

Mwanafunzi aliyepotea bado giza nene

Arusha. Kitendawili cha kupatikana kwa mwanafunzi, Joel Johannes aliyepotea akiwa na wanafunzi wenzake waliopanda Mlima Kwaraa mkoani Manyara kwa ajili ya ziara ya mafunzo, bado ni kigumu. Joel mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Bagara mwenye umri wa miaka 14, alitoweka tangu Septemba 14, 2024 katika mlima huo ulipo wilayani Babati mkoa…

Read More

Moussa Camara ajivunia mabeki visiki

KIPA wa Simba, Moussa Camara amezungumzia ubora wa ukuta wa timu hiyo unaongozwa na Fondoh Che Malone na Abdulrazack Mohamed Hamza kama sehemu ya kufanya kwake vizuri katika michezo mitano iliyopita katika Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho Afrika ambapo ameruhusu bao moja tu. Camara aliyecheza kwa umahiri mkubwa jana usiku katika mchezo wa ligi…

Read More

Ofisa kilimo Moshi atupwa jela kwa kumjeruhi binti wa kazi

Moshi. Ofisa Kilimo Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Ermina Marandu (40), amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kutiwa hatia kwa kumjeruhi msaidizi wake wa kazi za ndani mwenye miaka 16. Mahakama ya Wilaya Moshi, mbali na kifungo imemuamuru mshitakiwa kumlipa fidia ya Sh500,000 mwathirika wa tukio hilo (jina linahifadhiwa), ambaye ni mwenyeji wa…

Read More