Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: September 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • Page 300
Habari

Tarura yataja vipaumbele ujenzi wa barabara, matumizi ya teknolojia mpya

September 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakala ya Barabara Vijijini na Mijini (Tarura) umetaja vipaumbele vinne katika utendaji wao, ikiwemo kutumia teknolojia zinazohusisha kutumia malighafi zinazopatikana eneo la

Read More
Michezo

Majogoro atamani taji Sauzi | Mwanaspoti

September 2, 2024 Admin

KIUNGO Mtanzania anayekipiga Chippa United ya Afrika Kusini, Baraka Majogoro amesema anatamani msimu huu kufanya vizuri na kuisadia timu hiyo kuchukua ubingwa baada ya kuukosa

Read More
Habari

Sh14 bilioni kujenga majengo manne chuo kikuu Mkwawa

September 2, 2024 Admin

Iringa. Kilio cha wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Elimu Mkwawa (MUCE) cha kupanga mitaani kimeanza kufutwa, baada ya mkataba wa ujenzi wa majengo manne ikiwamo

Read More
Michezo

Kinda la Yanga mzuka umempanda Uganda

September 2, 2024 Admin

SIKU chache baada ya kutua na kutambulishwa na klabu ya Wakiso Giants inayoshiriki Ligi Kuu ya Uganda, beki kinda za zamani wa timu ya vijana

Read More
Michezo

Jalada kesi inayomkabili aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, lipo Polisi

September 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Jalada la kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini inayomkabili aliyekuwa  kocha wa makipa wa timu ya soka ya Simba,

Read More
Michezo

Lawi arejea Bongo, afunguka dili la Simba

September 2, 2024 Admin

BAADA ya kurejea nchini, beki Lameck Lawi amesema hatma ya yeye kuitumikia Coastal Union ipo chini ya Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya

Read More
Habari

Familia yagomea Polisi kufukua mwili bila kibali

September 2, 2024 Admin

Moshi. Polisi wameshindwa kufukua mwili unaodaiwa kuzikwa kimakosa katika kitongoji cha Dungi, Kijiji cha Kibosho Kindi, Wilaya ya Moshi, baada ya ndugu kudai hawana taarifa

Read More
Michezo

Kamwe, Ahmed Ally waita mashabiki Taifa Stars

September 2, 2024 Admin

Maofisa habari wa timu za Yanga, Simba na Azam FC wamewaita mashabiki wajitokeze kwa wingi katika mchezo wa kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika

Read More
Burudani Michezo

Kumekucha Mbeya City Day, Jiji litasimama

September 2, 2024 Admin

WAKATI wadau mashabiki wa soka wakisubiri tukio la Mbeya City Day, uongozi wa timu hiyo umesema maandalizi yanaenda vyema na wamejipanga kuwapa raha wakazi wote

Read More
Habari

Umri ajira za Tawa zawavuruga wabunge, wataka uondolewe

September 2, 2024 Admin

Dodoma. Kigezo cha umri usiozidi miaka 25 kwenye tangazo la ajira la Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania (Tawa), limeombewa jambo la dharura bungeni na wabunge

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 299 300 301 … 311 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.