Tarura yataja vipaumbele ujenzi wa barabara, matumizi ya teknolojia mpya

Dar es Salaam. Wakala ya Barabara Vijijini na Mijini (Tarura) umetaja vipaumbele vinne katika utendaji wao, ikiwemo kutumia teknolojia zinazohusisha kutumia malighafi zinazopatikana eneo la kazi kupata ufanisi wa gharama za ujenzi. Kipaumbele kingine ni kutunza barabara zilizopo katika hali nzuri na wastani kubaki kwenye hali hiyo, ili kulinda uwekezaji ambao tayari umeshafanyika na kuondoa…

Read More

Majogoro atamani taji Sauzi | Mwanaspoti

KIUNGO Mtanzania anayekipiga Chippa United ya Afrika Kusini, Baraka Majogoro amesema anatamani msimu huu kufanya vizuri na kuisadia timu hiyo kuchukua ubingwa baada ya kuukosa mwaka jana. Kiungo huyo alisajiliwa na Chippa United Agosti 2023 alipita Polisi Tanzania na Mtibwa Sugar za Tanzania zote zimeshuka daraja kwa misimu tofauti. Akizungumza na Mwanaspoti Nje ya Bongo,…

Read More

Sh14 bilioni kujenga majengo manne chuo kikuu Mkwawa

Iringa. Kilio cha wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Elimu Mkwawa (MUCE) cha kupanga mitaani kimeanza kufutwa, baada ya mkataba wa ujenzi wa majengo manne ikiwamo wa hosteli wenye thamani ya zaidi ya Sh14.8 bilioni kusainiwa. Mbali na hosteli, MUCE na kampuni ya ujenzi wamesaini mkataba wa ujenzi wa majengo kwa ajili ya maabara ya fizikia,…

Read More

Kinda la Yanga mzuka umempanda Uganda

SIKU chache baada ya kutua na kutambulishwa na klabu ya Wakiso Giants inayoshiriki Ligi Kuu ya Uganda, beki kinda za zamani wa timu ya vijana ya Yanga U-20, Issack Emmanuel Mtengwa amesema uamuzi wa mabosi wa Jangwanui kuamua kuwauza nje wachezaji itasaidia kupata uzoefu na kukua kisoka. Mtengwa anakuwa mchezaji wa pili kutoka Yanga ya…

Read More

Lawi arejea Bongo, afunguka dili la Simba

BAADA ya kurejea nchini, beki Lameck Lawi amesema hatma ya yeye kuitumikia Coastal Union ipo chini ya Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Lawi ambaye anatajwa kusaini mkataba ndani ya Simba, ameshindwa kuitumikia timu hiyo na badala yake alitimkia Ubelgiji kwa ajili ya kujiunga na Klabu ya K.A.A…

Read More

Familia yagomea Polisi kufukua mwili bila kibali

Moshi. Polisi wameshindwa kufukua mwili unaodaiwa kuzikwa kimakosa katika kitongoji cha Dungi, Kijiji cha Kibosho Kindi, Wilaya ya Moshi, baada ya ndugu kudai hawana taarifa hiyo na kutaka waonyeshwe kibali cha kuwaruhusu kufanya hivyo. Mwili huo unaodaiwa kuwa wa Richard Shoo, aliyefariki dunia Juni 19, 2024 ulitakiwa kufukuliwa kwa ajili ya uchunguzi na vipimo vya…

Read More

Kamwe, Ahmed Ally waita mashabiki Taifa Stars

Maofisa habari wa timu za Yanga, Simba na Azam FC wamewaita mashabiki wajitokeze kwa wingi katika mchezo wa kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (Afvon) dhidi ya Ethiopia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Jumatano, Septemba 4 kuanzia saa 1:00 usiku. Mchezo huo ni wa kwanza kwa Taifa Stars katika mashindano hayo…

Read More

Kumekucha Mbeya City Day, Jiji litasimama

WAKATI wadau mashabiki wa soka wakisubiri tukio la Mbeya City Day, uongozi wa timu hiyo umesema maandalizi yanaenda vyema na wamejipanga kuwapa raha wakazi wote wa jiji hilo. Awali tukio hilo lilikuwa lifanyike Agosti 17 mwaka huu, kisha kusogezwa hadi Agosti 31, lakini sasa ni rasmi litafanyika Septemba 7 ambayo ni Jumamosi ya wiki hii,…

Read More

Umri ajira za Tawa zawavuruga wabunge, wataka uondolewe

Dodoma. Kigezo cha umri usiozidi miaka 25 kwenye tangazo la ajira la Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania (Tawa), limeombewa jambo la dharura bungeni na wabunge ambao wameishauri Serikali waondoe kigezo cha umri. Jambo hilo limeletwa bungeni leo Jumatatu Septemba 2, 2024 na mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Ng’wasi Kamani akitumia kanuni ya 54 kulitaka Bunge…

Read More