Dar es Salaam Jumatatu Septemba 2 2024 — Ndondo Cup 2024 imekuwa hadithi ya mafanikio makubwa, ikitumika kama jukwaa lenye nguvu la kutoa huduma za
Month: September 2024

Dar es Salaam. Umewahi kujiuliza kwanini ni muhimu kupiga kura kumchagua mwenyekiti wa Serikali za mitaa na wajumbe wake katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba 27,

Na Mwandishi wetu- Dodoma NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Ummy Nderiananga amesema, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa

Tarime. Halmashauri ya Wilaya ya Tarime mkoani Mara inakabiliwa na uhaba wa vituo vya kutolea huduma ya dawa kinga kwa ajili ya ugonjwa wa Ukimwi

Uchaguzi wa majimbo nchini Ujerumani una maana kubwa zaidi kwa siasa za kikanda. Unatazamwa kama kipimo cha utendajikazi wa serikali ya shirikisho. Licha ya kwamba

Dar es Salaam. Ukitazama mwonekano wake unaweza kudhani ni nyumba lakini ni jokofu la mkaa (friji) maalumu kwa kuhifadhi mazao yanayoharibika mapema. Ni friji lililotengenezwa

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali ipo katika hatua za mwisho za kusaini Mkataba wa Ujenzi wa Daraja katika eneo la Jangwani jijini

Uchaguzi wa Tanzania kama Mjumbe wa Baraza la Usimamizi wa Mamlaka ya Bahari Kuu (ISA) ni hatua ya kistratejia kwa nchi hii katika kuimarisha ushawishi

Wafanyakazi hao wanapinga hatua za serikali kushindwa kuumaliza mzozo huo na kufanikisha kuwarejesha nyumbani mateka waliosalia mikononi mwa kundi la Hamas. Mgomo huo unaoongozwa na

Dar es Salaam. Umoja wa Ulaya (EU), imeishutumu China kwa hatua ilizozichukua za kuitaka Ufilipino iondoe meli yake katika eneo linalogombaniwa na mataifa hayo. Hatua