Salah adokeza kuondoka Liverpool – Millard Ayo

Mohamed Salah alidokeza huu utakuwa msimu wake wa mwisho ndani ya Liverpool baada ya kufunga bao lake la 15 dhidi ya Manchester United katika ushindi mnono wa 3-0 kwa wageni Old Trafford Jumapili. Salah amebakiza chini ya mwaka mmoja kutekeleza mkataba wake Anfield na alisema hakuna mazungumzo yoyote yaliyofanyika na klabu juu ya kuongeza mkataba…

Read More

Mbunge ahoji uholela usajili laini za simu, Serikali yamjibu

Dodoma. Serikali ya Tanzania imezungumzia suala la utapeli mitandaoni kwamba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaendelea kudhibiti usajili wa laini za simu kwa umakini mkubwa. Kauli hiyo imetolewa leo Jumatatu Septemba 2, 2024 na Naibu Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Maryprisca Mahundi wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Makete (CCM),…

Read More

VODACOM YATANGAZA WASHINDI WA DRAW YA KAMPENI YA NI BALAA!! – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mshindi wa wiki ya tano wa kampeni ya Vodacom Tanzania Plc ‘Ni Balaa, Kila Mtu ni Mshindi’ Salehe Samweli (wa pili kulia), akipokea mfano wa hundi ya shilingi laki tano kutoka kwa Mkuu wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa kampuni hiyo, Abednego Mhagama (kushoto), katika Duka la Vodacom lililopo Jijini Mbeya mwishoni mwa wiki. Endelea kufanya miamala kwa kutumia M-pesa Super…

Read More

Rais Samia kufanya ziara ya siku tano China

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini China kuanzia Septemba 2 hadi 6, 2024 kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (Forum on China-Africa Cooperation-FOCAC) utakaofanyika jijini Beijing. Wakati wa ziara hiyo, Rais Samia atakutana na mwenyeji…

Read More