Serikali Mkoani Geita imeyataka Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali kuhakikisha wanashirikiana na Serikali katika kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo changamoto za kiuchumi , kimaendeleo na kiutamaduni sambamba
Month: September 2024

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, amethibitisha kwamba Serikali imelitambua deni la Shilingi Bilioni 1.52 linalotokana na mapunjo ya mafao kwa waliokuwa wafanyakazi wa

Halmashauri ya wilaya ya Geita imeagizwa kulipa madeni wanayodaiwa na wazabuni pamoja na watumishi ili kuwasaidia kuongeza ufanisi katika kazi wanazozifanya kwa manufaa ya Halmashauri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuanza ziara rasmi nchini China kuanzia tarehe 02 hadi 06 Septemba 2024.

Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, ametoa maoni makali kuhusu jinsi ardhi inavyotumika nchini Tanzania, akidai kuwa kuna udhaifu mkubwa katika

Dodoma. Kesi ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam, inayowakabili washtakiwa ‘wanaodaiwa kutumwa na

Tamasha la “Tulia Cooking Festival,” ambalo lilifanyika jijini Mbeya tarehe 31 Agosti 2024, limefanikiwa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. Tamasha hilo lilijumuisha

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeshiriki kikamilifu kwenye kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi iliyopo mkoani Morogoro huku

Takribani watu 41 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Urusi katika mji wa Kharkiv, Ukraine. Kwa mujibu wa maafisa wa eneo hilo, mashambulizi hayo

*Asema inatokana na NSSF kufanya mageuzi mbalimbali pamoja na kuwekeza vizuri kimkakati Na MWANDISHI WETU, ARUSHA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.