Mashirika binafsi toeni huduma katika halmashauri zote

Serikali Mkoani Geita imeyataka Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali kuhakikisha wanashirikiana na Serikali katika kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo changamoto za kiuchumi , kimaendeleo na kiutamaduni sambamba na kulinda Mila na Desturi za Kitanzania. Hayo yameelezwa na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Geita Dkt. Elfasi Msenya katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs)…

Read More

TLS YAHOJI UTEKELEZAJI WA SHERIA ZA UHIFADHI NA MATUMIZI YA ARDHI NCHINI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, ametoa maoni makali kuhusu jinsi ardhi inavyotumika nchini Tanzania, akidai kuwa kuna udhaifu mkubwa katika utekelezaji wa sheria za uhifadhi na matumizi ya ardhi. Akizungumza usiku wa Jumamosi kupitia mtandao wa Clubhouse kwenye jukwaa la Sauti ya Watanzania, Mwabukusi alikosoa sera za kuhamisha jamii ya…

Read More

Kesi ‘waliotumwa na afande’ kuendelea leo

Dodoma. Kesi ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam, inayowakabili washtakiwa ‘wanaodaiwa kutumwa na afande’ leo Jumatatu, Septemba 2, 2024 inaendelea kusikilizwa. Wakili anayewawakilisha washtakiwa, Godfrey Wasonga amesema kuwa kesi hiyo itasikilizwa mfululizo kuanzia leo. Washtakiwa katika kesi hiyo ni askari wa Jeshi la…

Read More

NURU YA TAMASHA LA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAANGAZA MBEYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Tamasha la “Tulia Cooking Festival,” ambalo lilifanyika jijini Mbeya tarehe 31 Agosti 2024, limefanikiwa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. Tamasha hilo lilijumuisha mashindano ya mapishi ya vyakula kwa kutumia nishati safi, likishirikisha mamalishe na babalishe 1,000 kutoka sehemu mbalimbali nchini Tanzania. Akihitimisha tamasha hilo, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa…

Read More

41 WAJERUHIWA NA SHAMBULIZI LA ANGA HUKO KHARKIV, UKRAINE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Takribani watu 41 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Urusi katika mji wa Kharkiv, Ukraine. Kwa mujibu wa maafisa wa eneo hilo, mashambulizi hayo yalilenga miundombinu ya kiraia na kusababisha uharibifu mkubwa. Mkuu wa mkoa, Oleh Syniehubov, amethibitisha kuwa miongoni mwa waliojeruhiwa ni watoto watano, na akatoa lawama kali kwa Moscow kwa kulenga maeneo…

Read More

RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN APONGEZA NSSF KWA KUFANYA MAGEUZI NA KUKAMILISHA MRADI WA KIWANDA CHA SUKARI MKULAZI

*Asema inatokana na NSSF kufanya mageuzi mbalimbali pamoja na kuwekeza vizuri kimkakati Na MWANDISHI WETU, ARUSHA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameupongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Jeshi la Magereza kwa kufanya mageuzi na kukamilisha mradi wa kimkakati wa kiwanda cha sukari Mkulazi kilichopo…

Read More