Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: September 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • Page 303
Habari

Mashirika binafsi toeni huduma katika halmashauri zote

September 2, 2024 Admin

Serikali Mkoani Geita imeyataka Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali kuhakikisha wanashirikiana na Serikali katika kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo changamoto za kiuchumi , kimaendeleo na kiutamaduni sambamba

Read More
Habari

Deni la Bilioni 1.52 la Kiwira Lathibitishwa na Serikali – MWANAHARAKATI MZALENDO

September 2, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, amethibitisha kwamba Serikali imelitambua deni la Shilingi Bilioni 1.52 linalotokana na mapunjo ya mafao kwa waliokuwa wafanyakazi wa

Read More
Habari

Halmashauri lipeni madeni ya wazabuni kuongeza ufanisi katika kazi

September 2, 2024 Admin

Halmashauri ya wilaya ya Geita imeagizwa kulipa madeni wanayodaiwa na wazabuni pamoja na watumishi ili kuwasaidia kuongeza ufanisi katika kazi wanazozifanya kwa manufaa ya Halmashauri

Read More
Habari

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUHUDHURIA MKUTANO WA FOCAC BEIJING, CHINA – MWANAHARAKATI MZALENDO

September 2, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuanza ziara rasmi nchini China kuanzia tarehe 02 hadi 06 Septemba 2024.

Read More
Habari

TLS YAHOJI UTEKELEZAJI WA SHERIA ZA UHIFADHI NA MATUMIZI YA ARDHI NCHINI – MWANAHARAKATI MZALENDO

September 2, 2024 Admin

Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, ametoa maoni makali kuhusu jinsi ardhi inavyotumika nchini Tanzania, akidai kuwa kuna udhaifu mkubwa katika

Read More
Habari

Kesi ‘waliotumwa na afande’ kuendelea leo

September 2, 2024 Admin

Dodoma. Kesi ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam, inayowakabili washtakiwa ‘wanaodaiwa kutumwa na

Read More
Habari

NURU YA TAMASHA LA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAANGAZA MBEYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

September 2, 2024 Admin

  Tamasha la “Tulia Cooking Festival,” ambalo lilifanyika jijini Mbeya tarehe 31 Agosti 2024, limefanikiwa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. Tamasha hilo lilijumuisha

Read More
Habari

Benki ya NBC Yasisitiza Dhamira yake Kuchochea Ukuaji Sekta ya Utalii, Waziri Chana Apongeza

September 2, 2024 Admin

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeshiriki kikamilifu kwenye kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi iliyopo mkoani Morogoro huku

Read More
Habari

41 WAJERUHIWA NA SHAMBULIZI LA ANGA HUKO KHARKIV, UKRAINE – MWANAHARAKATI MZALENDO

September 2, 2024 Admin

Takribani watu 41 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Urusi katika mji wa Kharkiv, Ukraine. Kwa mujibu wa maafisa wa eneo hilo, mashambulizi hayo

Read More
Habari

RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN APONGEZA NSSF KWA KUFANYA MAGEUZI NA KUKAMILISHA MRADI WA KIWANDA CHA SUKARI MKULAZI

September 2, 2024 Admin

*Asema inatokana na NSSF kufanya mageuzi mbalimbali pamoja na kuwekeza vizuri kimkakati Na MWANDISHI WETU, ARUSHA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 302 303 304 … 311 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.