CCM yawakata 37 kugombea ubunge EALA, yateua 10

Dar es Salaam. Kamati Kuu Maalumu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imewateua makada wake 10 kugombea ubunge wa Afrika Mashariki (EALA), kurithi nafasi iliyoachwa wazi na Dk Shongo Sedoyeka aliyefariki dunia Juni 13, 2024. Hata hivyo, uamuzi huo wa kamati kuu umewakata makada wengine 37 waliotia nia kuomba ridhaa ya chama hicho kuteuliwa kugombea ubunge…

Read More

WAKALA WA VIPIMO YAPANGA KUNG’ARA SHIMUTA

Watumishi wa Wakala wa Vipimo wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya kushiriki katika michezo mbalimbali …… Ikiwa imebaki miezi miwili kuelekea mashindano ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma,Taasisi na Makampuni Binafsi ( SHIMUTA) ambayo yamepangwa kufanyika katika Viwanja vya CCM Mkwakwani mkoani Tanga kuanzia tarehe 10 hadi 24 Novemba,2024, Wakala wa Vipimo (WMA)imefanya…

Read More

Serikali kugharimia matibabu ya majeruhi Hanang

Babati. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amesema Serikali itagharamia matibabu kwa wanafunzi majeruhi wa ajali ya magari mawili yaligongana na kusababisha vifo vya watu wanne jana. Sendiga ameyasema hayo leo Jumapili Septemba Mosi, 2024 baada ya kuwatembelea majeruhi wa ajali hiyo ambao wamelazwa Hospitalini ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara, mjini Babati. Ajali…

Read More

Vigogo KenGold wameamua | Mwanaspoti

WAKATI benchi la ufundi Ken Gold likiahidi kusuka kikosi upya, uongozi wa timu hiyo nao umekoleza moto kwa mastaa ukiahidi dau nono kwa matokeo ya ushindi kuanzia mchezo ujao dhidi ya Fountain Gate. Ken Gold inayoshiriki Ligi Kuu kwa mara ya kwanza haijaanza vyema msimu, baada ya kupoteza mchezo wa ufunguzi dhidi ya Singida Black…

Read More

Wataalamu wajipanga kukabili ongezeko la watu ifikapo 2050

Arusha. Wataalamu wa sayansi, teknolojia na mazingira wameanza utafiti wa kuimarisha upatikanaji wa mahitaji muhimu ili kukabiliana na ongezeko kubwa la idadi ya watu nchini. Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka  2022, idadi ya watu Tanzania imeongezeka kwa asilimia 37, kutoka watu milioni 44.92 mwaka 2012 hadi kufikia milioni 61.74. Shirika…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA MAWASILIANO KATIKA HIFADHI ILI KUIMARISHA HUDUMA MBALIMBALI MGENI AWAPO HIFADHINI IKIWEMO KUTOKUKOSA MAWASILIANO

Baadhi ya Wafanyakazi Kutoka katika Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakimsikiliza muhifadhi akiwapatia historia fupi ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Baadhi ya Wafanyakazi Kutoka katika Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakimsikiliza muhifadhi akiwapatia historia fupi ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Mkururugenzi wa uendelezaji mifumo ya Tehama Wizara…

Read More

JKU yabeba tena Ngao ya Jamii Zenji

MABINGWA wa Ligi Kuu Zanzibar, JKU jioni ya leo Jumapili imefanikiwa kutetea tena Ngao ya Jamii baada ya kuinyoosha Chipukizi kwa mwaka 2-0 katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan, mjini Unguja. Msimu uliopita JKU ilitwaa taji hilo kwa kuifunga KMKM kwa mabao 5-2 katika mechi iliyopigwa Septemba 9 na leo ikikutana tena…

Read More