MATI SUPER BRANDS YASHIRIKI MANYARA DAFTARI DAY JOGGING

    Na Mwandishi Wetu ,Manyara. Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited imeshiriki na kudhamini Matembezi maalumu ya kuhamasisha Wananchi kujiandikisha kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura yanayofahamika kama “Manyara Daftari Day ” ambapo Mamia ya wakazi wa mkoa wa Manyara wameshiriki wameshiriki matembezi hayo yaliyofanyika katika viwanja ya Tanzanite…

Read More

KCB BANK YACHANGIA SHILINGI MILIONI 30 KATIKA SHEREHE YA SHUKRANI YA MARIAN SCHOOLS

BENKI Ya KCB imechangia Shilingi milioni 30 katika sherehe ya shukrani ya Marian Schools, iliyojumuisha mbio za miguu, matembezi, na misa ya shukrani. Mkurugenzi wa Biashara Cosmas Kimario na Mgeni rasmi wa sherehe hizo ,aliipongeza Taasisi za Marian kwa mafanikio makubwa waliyoyafikia kielimu, kijamii, na kiuchumi. Kimario alisisitiza kuwa tangu kuanzishwa mwaka 1997, Taasisi za…

Read More

Freddy arudi ghafla, ajifua na mastaa wa Yanga

BAADA ya kusepa Simba, mshambuliaji Freddy Kouablan amerejea nchini kimya kimya, lakini akashtua kujifua na mastaa wa Yanga. Freddy ambaye alitua Simba dirisha dogo msimu uliopita akitokea Green Eagles ya Zambia akiwa amefunga mabao 11 yaliyomfanya awe Mfungaji Bora mwishoni mwa msimu wakati akiwa Msimbazi, aliondoka Simba hivi karibuni kumpisha Leonel Ateba kutoka USM Alger…

Read More

Walioing’oa Coastal kuvaana na Ninja CAF

BEKI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga FC Lupopo ya DR Congo, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amefungukia fursa iliyopata timu anayoichezea kwa sasa kukutana na Bravos do Maquis raundi ya pili za Kombe la Shirikisho Afrika, huku akikiri haitakuwa mechi rahisi kutokana na ubora wa Waangola. Bravos ilipenya hatua hiyo baada ya kuvuka raundi ya kwanza kwa…

Read More

Nyota Prisons aonya makipa Bara

KIUNGO Mshambuliaji wa Tanzania Prisons, Zabona Hamis amesema dakika 180 bila timu kupata bao ni huzuni kwao, akieleza kuwa kurejea kwa pacha wake Samson Mbangula makipa wajipange. Prisons imeanza Ligi Kuu msimu wa 2024/25 kwa matokeo ya suluhu ya bila kufungana katika mechi mbili ilizocheza ugenini dhidi ya Pamba Jiji na Mashujaa na kushtua mashabiki…

Read More

'Kutoa usaidizi na kutoa matumaini', njia ya angani kwa waliojitenga zaidi duniani – Masuala ya Ulimwenguni

The WFPMkurugenzi Mtendaji Cindy McCain alisema Huduma ya anga ya Umoja wa Mataifa ya kibinadamu (UNHAS), ambayo inasimamiwa na shirika la chakula la Umoja wa Mataifa, iliwezesha wahudumu wa kibinadamu kukabiliana haraka na majanga katika “eneo lenye kina kirefu.” © WFP/Nkole Mwape Mkurugenzi Mtendaji wa WFP Cindy McCain anaangalia uharibifu unaosababishwa na ukame unaozidishwa na…

Read More