WIKI chache tangu aiachane na aliyekuwa kocha mkuu, David Ouma, klabu ya Coastal Union ya Tanga inadaiwa imemshusha kimyakimya kocha mpya kutoka Burundi, Domonique Niyonzima
Month: September 2024

Mbeya. Halmashauri ya Jiji la Mbeya imesema itachukua hatua kali kwa mzazi au mlezi yeyote atakayeharibu ndoto za mtoto wake katika elimu kwa kumtumia kama

Dodoma. Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa wa Mwaka 2024 unawasilishwa kesho Jumatatu Septemba 2, 2024 bungeni. Muswada

Dar es Salaam. Wadau wa elimu wameitaka Serikali kuanza kutenga fedha itakayotolewa kwa shule zote nchini kama ruzuku ili kufanikisha azma yake ya wanafunzi wa

Arusha. Ni furaha kwa wakulima wa parachichi nchini, baada ya Wizara ya Kilimo kupitia Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), kufanikiwa kufungua

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa taarifa Septemba 1, 2024 kuwa Katibu Mkuu wake, Dkt. Emmanuel Nchimbi hakukimbia wala kudharau mdahalo uliopangwa kuwahusisha Makatibu Wakuu

Unguja. Wakati Zanzibar ikitafuta nyanja mbalimbali za kuhamasisha na kutangaza utalii wake, linatarajiwa kufanyika kongamano kubwa la kimataifa linalohusiana na utalii wa maadili na mikutano.

BEKI wa kati wa ASA Tel Aviv inayoshiriki Ligi ya Israel, Mtanzania Noela Luhala amepoteza mchezo wa kwanza akiwa na klabu mpya akitumika kwa dakika

Arusha. Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imewaachia huru watu watatu akiwemo aliyekuwa askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Said Makumbusya