Niyonzima, Coastal kuna jambo lipo

WIKI chache tangu aiachane na aliyekuwa kocha mkuu, David Ouma, klabu ya Coastal Union ya Tanga inadaiwa imemshusha kimyakimya kocha mpya kutoka Burundi, Domonique Niyonzima ambaye kwa sasa anaendelea kusimamia mazoezi yanayoendelea kambini eneo la Kigamboni, jijini Dar es Salaam. Licha ya kwamba mabosi wa Coastal bado haijatangaza rasmi juu ya kocha huyo ambaye ni…

Read More

Wazazi wanaofanya watoto wao vitega uchumi kikaangoni

Mbeya. Halmashauri ya Jiji la Mbeya imesema itachukua hatua kali kwa mzazi au mlezi yeyote atakayeharibu ndoto za mtoto wake katika elimu kwa kumtumia kama chanzo cha mapato kwa njia ya kumuozesha au kumfanyisha kazi kinyume na sheria. Kauli hiyo imetolewa ikiwa zimebaki siku chache kwa wanafunzi wa darasa la saba kuhitimu elimu ya msingi…

Read More

Tanzania yaruhusiwa kuuza parachichi China

Arusha. Ni furaha kwa wakulima wa parachichi nchini, baada ya Wizara ya Kilimo kupitia Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), kufanikiwa kufungua soko la parachichi nchini China. Ruhusa hiyo imetokana na itifaki ya usafi na udhibiti wa magonjwa ya mimea iliyosainiwa mwaka 2022 kati ya Tanzania na China, ikiruhusu parachichi za Tanzania…

Read More

CCM YATOA UFAFANUZI BAADA YA DKT. NCHIMBI KUSHINDWA KUFIKA KATIKA MDAHALO WA ODEMBA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa taarifa Septemba 1, 2024 kuwa Katibu Mkuu wake, Dkt. Emmanuel Nchimbi hakukimbia wala kudharau mdahalo uliopangwa kuwahusisha Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa chini katika kituo cha Star Tv Agosti 31, 2024.           Taarifa hiyo imesema, Agosti 10, 2024 Mtangazaji Edwin Odemba alimtafuta Dkt. Nchimbi…

Read More

Zanzibar rasmi utalii wa mikutano, mataifa 12 kushiriki kongamano la maadili

Unguja. Wakati Zanzibar ikitafuta nyanja mbalimbali za kuhamasisha na kutangaza utalii wake, linatarajiwa kufanyika kongamano kubwa la kimataifa linalohusiana na utalii wa maadili na mikutano. Katika kongamano hilo la kwanza liitwalo (Light upon Light) mataifa zaidi ya 12 yanatarajia kushiriki ambapo litawaleta pamoja masheikh maarufu akiwemo Mufti maarufu duniani, Ismail Menki. Akizungumza wakati wa kuzindua…

Read More

Noela apoteza 90 za kwanza Ulaya

BEKI wa kati wa ASA Tel Aviv inayoshiriki Ligi ya Israel, Mtanzania Noela Luhala amepoteza mchezo wa kwanza akiwa na klabu mpya akitumika kwa dakika zote 90 dhidi ya KG Women Soccer kwa mabao 2-0. Mchezaji huyo wa zamani wa Yanga Princess inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini ni mara ya kwanza kucheza nje ya mipaka…

Read More

Watatu walioshitakiwa kwa mauaji waachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imewaachia huru watu watatu akiwemo aliyekuwa askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Said Makumbusya waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji. Katika kesi hiyo ya mauaji namba 30 ya mwaka 2023, mbali na Sajenti Said, washitakiwa wengine ni Hadija Athuman na Zamda Bilali waliokuwa wanakabiliwa…

Read More