Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: September 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • Page 307
Michezo

Niyonzima, Coastal kuna jambo lipo

September 1, 2024 Admin

WIKI chache tangu aiachane na aliyekuwa kocha mkuu, David Ouma, klabu ya Coastal Union ya Tanga inadaiwa imemshusha kimyakimya kocha mpya kutoka Burundi, Domonique Niyonzima

Read More
Habari

CCM YATOA TAARIFA YA KUHUSU BALOZI DKT. NCHIMBI KUTOSHIRIKI KWENYE MDAHALO

September 1, 2024 Admin
Read More
Habari

Wazazi wanaofanya watoto wao vitega uchumi kikaangoni

September 1, 2024 Admin

Mbeya. Halmashauri ya Jiji la Mbeya imesema itachukua hatua kali kwa mzazi au mlezi yeyote atakayeharibu ndoto za mtoto wake katika elimu kwa kumtumia kama

Read More
Habari

Muswada kifungu cha rushwa ya ngono kutua bungeni kesho, wanaharakati waukataa

September 1, 2024 Admin

Dodoma. Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa wa Mwaka 2024 unawasilishwa kesho Jumatatu Septemba 2, 2024 bungeni. Muswada

Read More
Habari

Wadau wa elimu wapigilia msumari chakula cha mchana kwa mwanafunzi

September 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wadau wa elimu wameitaka Serikali kuanza kutenga fedha itakayotolewa kwa shule zote nchini kama ruzuku ili kufanikisha azma yake ya wanafunzi wa

Read More
Habari

Tanzania yaruhusiwa kuuza parachichi China

September 1, 2024 Admin

Arusha. Ni furaha kwa wakulima wa parachichi nchini, baada ya Wizara ya Kilimo kupitia Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), kufanikiwa kufungua

Read More
Habari

CCM YATOA UFAFANUZI BAADA YA DKT. NCHIMBI KUSHINDWA KUFIKA KATIKA MDAHALO WA ODEMBA – MWANAHARAKATI MZALENDO

September 1, 2024 Admin

  Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa taarifa Septemba 1, 2024 kuwa Katibu Mkuu wake, Dkt. Emmanuel Nchimbi hakukimbia wala kudharau mdahalo uliopangwa kuwahusisha Makatibu Wakuu

Read More
Habari

Zanzibar rasmi utalii wa mikutano, mataifa 12 kushiriki kongamano la maadili

September 1, 2024 Admin

Unguja. Wakati Zanzibar ikitafuta nyanja mbalimbali za kuhamasisha na kutangaza utalii wake, linatarajiwa kufanyika kongamano kubwa la kimataifa linalohusiana na utalii wa maadili na mikutano.

Read More
Michezo

Noela apoteza 90 za kwanza Ulaya

September 1, 2024 Admin

BEKI wa kati wa ASA Tel Aviv inayoshiriki Ligi ya Israel, Mtanzania Noela Luhala amepoteza mchezo wa kwanza akiwa na klabu mpya akitumika kwa dakika

Read More
Habari

Watatu walioshitakiwa kwa mauaji waachiwa huru

September 1, 2024 Admin

Arusha. Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imewaachia huru watu watatu akiwemo aliyekuwa askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Said Makumbusya

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 306 307 308 … 311 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.