· Waonyesha vipaji kwenye lugha ya kingereza, kifaransa na masomo ya uhandisi Na Mwandishi Wetu UMAHIRI ulionyeshwa na wanafunzi wa shule ya sekondari ya St
Month: September 2024

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania na nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta mwezi huu anatajiwa kuanza kucheza mechi za michuano ya Ligi ya UEFA Europa

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema Katibu Mkuu wake, Dk Emmanuel Nchimbi hakukimbia mdahalo kama ilivyoelezwa na mtangazaji, badala yake hakukuwa na mawasiliano

Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Wazazi (CCM), Mkoa wa Morogoro, ambaye pia ni Mkurugenzi wa shule ya Msingi na Awali East Africa ya jijini Dodoma,

Jana Jumamosi, Aishi Salum Manula alirejea kwenye milingoti mitatu ya Simba tangu mara ya mwisho aonekane katika majukumu yake Machi 6 mwaka huu. Manula ambaye

Dar es Salaam. Wanataaluma 16 wa Tanzania wanatarajia kuanza safari yao ya kimasomo nchini Japan. Wanataaluma hao watasoma shahada za uzamili na kupata uzoefu kwa

TRA yashiriki MOI Marathon 2024 kwa lengo la kuchangia matibabu ya magonjwa sugu pamoja na kutoa msukumo kwa watumishi wa Hospitali hiyo kufanya mazoezi ili

Baada ya kushinda michuano mitatu mikubwa nchini Zambia na Uganda, Mtanzania Madina Iddi anawasubiri tena Wakenya na Waganda jiini Arusha ambako mashindano ya wazi ya

Swali: Anti, nimekuja kuomba ushauri nimfanye nini mpenzi wangu ambaye tangu tumeachana kazi yake ni kunifuatilia kila ninachokifanya. Kibaya zaidi amekuwa akitukana na kunikashifu kupitia

MIKUMI imefanikiwa tena kuishinda Ngorongoro katika mchezo wa pili wa majaribio kwa wachezaji nyota wa timu ya taifa ya kriketi uliopigwa jijini katika uwanja wa