Samatta uso kwa uso na Manchester United

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania na nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta mwezi huu anatajiwa kuanza kucheza mechi za michuano ya Ligi ya UEFA Europa League akiwa na klabu ya PAOK ya Ugiriki, huku akitarajiwa kuja kukutana uso kwa uso Man United, Novemba 7 mwaka huu. Katika droo ya michuano hiyo inayoendeshwa kwa mtindo wa…

Read More

CCM: Dk Nchimbi hakuthibitisha kushiriki mdahalo wa Odemba

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema Katibu Mkuu wake, Dk Emmanuel Nchimbi hakukimbia mdahalo kama ilivyoelezwa na mtangazaji, badala yake hakukuwa na mawasiliano rasmi ya kumwalika. Kwa mujibu wa taarifa ya CCM, hadi matangazo ya kufanyika mdahalo huo yanasambazwa mitandaoni, Dk Nchimbi hakuwa amethibitisha kushiriki wala kuahidi kutuma mwakilishi na tayari alishamshauri mwandaaji…

Read More

Dakika 45 za Manula alivyorejea Simba

Jana Jumamosi, Aishi Salum Manula alirejea kwenye milingoti mitatu ya Simba tangu mara ya mwisho aonekane katika majukumu yake Machi 6 mwaka huu. Manula ambaye amekuwa nje ya kikosi cha Simba kwa takribani miezi mitano, alikuwa akiuguza majeraha ya nyonga, lakini baada ya kupona alichelewa kujiunga na wenzake baada ya kuwepo sintofahamu kutokana na nafasi…

Read More

Watanzania 16 waelekea masomoni Japan

Dar es Salaam. Wanataaluma 16 wa Tanzania wanatarajia kuanza safari yao ya kimasomo nchini Japan. Wanataaluma hao watasoma  shahada za uzamili na kupata uzoefu kwa vitendo kupitia mafunzo ya kazi katika kampuni za kijapani. Wanufaika hao chini ya Mpango wa Elimu ya Biashara kwa Vijana wa Afrika (ABE Initiative-African Business Education Initiative for Youth), huku…

Read More

TRA yashiriki MOI Marathon 2024

TRA yashiriki MOI Marathon 2024 kwa lengo la kuchangia matibabu ya magonjwa sugu pamoja na kutoa msukumo kwa watumishi wa Hospitali hiyo kufanya mazoezi ili kujiepusha na magomjwa yasioambukiza . Katika ushiriki huo TRA ni kutaka kufikisha ujumbe wa kuhamasisha wananchi kutoa na kudai risiti ili kuwezesha serikali kutoa huduma za matibabu kwa wananchi wake.

Read More

Madina sasa awaita Wakenya, Waganda

Baada ya kushinda michuano mitatu mikubwa nchini Zambia na Uganda, Mtanzania Madina Iddi anawasubiri tena Wakenya na Waganda jiini Arusha ambako mashindano ya wazi ya gofu ya wanawake yatafanyika katikati ya mwezi huu. Yakijulikana kama Tanzania Ladies Open, haya ni mashindano ya gofu ya siku tatu ambayo yatapigwa katika mashimo 54  ya viwanja vya gofu…

Read More

ONGEA NA ANTI BETTIE: X wangu anaelekea kusambaza picha zetu za faragha

Swali: Anti, nimekuja kuomba ushauri nimfanye nini mpenzi wangu ambaye tangu tumeachana kazi yake ni kunifuatilia kila ninachokifanya. Kibaya zaidi amekuwa akitukana na kunikashifu kupitia mitandao ya kijamii, anazunguka sana anapotimiza azma yake hiyo, lakini ninajua kwa sababu anazungumzia vitu tulivyokuwa tukifanya pamoja. Kukaa kwangu kimya ndiko kunakomuudhi, maana hajasikia nikipata shida wala kumuomba turudiane…

Read More

Patwa, Khan waipaisha Mikumi | Mwanaspoti

MIKUMI imefanikiwa tena kuishinda Ngorongoro  katika mchezo wa pili wa majaribio kwa wachezaji nyota wa timu ya taifa ya kriketi uliopigwa jijini katika uwanja wa Anadil Burhan mwishoni mwa juma. Timu hizi ni kombaini zinazoundwa na wacjhezaji wa timu ya taifa kwa ajili ya kuwaandaa kwa michezo ya kufuzu fainali za kombe la dunia ambapo…

Read More