JKU, Chipukizi na leo tena Zenji

PAZIA la msimu mpya wa mashindano kwa visiwani Zanzibar, linafunguliwa jioni ya leo kwa timu za JKU na Chipukizi kukutana katika mechi ya Ngao ya Jamii itakayopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex mjini Unguja na kukumbushia kisanga cha pambano la fainali ya Kombe la Shirikisho lililovunjika. JKU ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu Zanzibar…

Read More

Ilanfya: Taratibu JKT mtatuelewa tu!

STRAIKA mtukutu wa JKT Tanzania, Charles Ilanfya amesema matokeo ya suluhu iliyopata timu hiyo dhidi ya Azam FC ni mwanzo mzuri kwao na anaamini kadri ligi itakavyokuwa ikisonga mbele ndivyo mashabiki watawaelewa msimu huu wana jambo lao baada ya msimu uliopita kunusurika kushuka daraja.

Read More

Miaka 60 ya kuzaliwa, kukua na kukomaa JWTZ

Dar es Salaam. Miongo sita iliyopita siku kama ya leo, Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ) lilizaliwa baada ya kukamilika mchakato wa kuunganishwa kati ya lile la Zanzibar na Tanganyika. Jeshi la Zanzibar wakati huo liliitwa la Ukombozi, huku Tanganyika likiitwa Military Force na muungano huo uliunda jina la Jeshi la Ulinzi la Wananchi…

Read More

Yonta, Adebayor kazi imeanza Singida BS

NYOTA wawili wapya wa Singida Black Stars washambuliaji Abdoulaye Yonta Camara na Victorien Adebayor, wamepewa programu maalumu za mazoezi na kocha mkuu wa kikosi hicho, Patrick Aussems kutokana na kuchelewa kujiunga na wenzao msimu huu. Camara na Adebayor hawakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kilichoanza maandalizi ya msimu (pre season), jambo ambalo limemfanya Aussems…

Read More

Ayonga ndiye mbabe wa Gymkhana

MCHEZAJI maarufu wa klabu ya Dar es Salaam Gymkhana, Kiki Ayonga ameshinda taji la mashindano ya mwisho wa mwezi ya UAP Insurance. Ayonga ameibuka kidedea kwa njia ya count back baada ya kufungana kwa mikwaju ya net na 79 na Joseph Placid aliyemaliza katika nafasi ya pili. “Nimefurahi sana kushinda taji hili la mashindano ya…

Read More

Chanzo, tiba msongo wa mawazo kazini – 1

Huu ni msongo wa mawazo kwa watu walio kazini. Kwa kawaida, husababishwa na mazingira ya kazi, uzito wa kazi na uwezo wa mtu kuimudu kazi. Mambo haya yote huunda mazingira yanayoweza kumweka mwajiriwa kwenye hatari ya kupata msongo wa mawazo. Mambo mengine yanayochangia msongo wa mawazo kwa wafanyakazi ni nafasi ya mwajiriwa katika ofisi, uhusiano…

Read More

Bingwa achochea vita ya injini Iringa

DEREVA Yassin Yasser amesema yuko kamili kwa ajili ya kutetea ubingwa wake wa mbio  za magari  ya Iringa baada ya gari yake Ford Fiesta R5 kusukwa upya kufuatia ajali mbaya wakati wa mashindano mbio za magari ya kimataifa nchini Kenya. Nasser na msoma ramani wake Ali Katumba ndiyo mabingwa wa taifa wa mbio za magari…

Read More