Moja ya vitu vinavyonitatiza linapokuja suala la ndoa ni mahari. Ni kama nywele za kichwa, zipo hapo siku zote lakini zipo kwa ajili ya kazi
Month: September 2024

PAZIA la msimu mpya wa mashindano kwa visiwani Zanzibar, linafunguliwa jioni ya leo kwa timu za JKU na Chipukizi kukutana katika mechi ya Ngao ya

Dar es Salaam. Mteule wa nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile amefunguka na kusema Jimbo la

STRAIKA mtukutu wa JKT Tanzania, Charles Ilanfya amesema matokeo ya suluhu iliyopata timu hiyo dhidi ya Azam FC ni mwanzo mzuri kwao na anaamini kadri

Dar es Salaam. Miongo sita iliyopita siku kama ya leo, Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ) lilizaliwa baada ya kukamilika mchakato wa kuunganishwa kati

NYOTA wawili wapya wa Singida Black Stars washambuliaji Abdoulaye Yonta Camara na Victorien Adebayor, wamepewa programu maalumu za mazoezi na kocha mkuu wa kikosi hicho,

Mbeya. Zikiwa zimepita siku 30 tangu mkazi wa Kijiji cha Ntokela wilayani Rungwe, Mkoa wa Mbeya, Shadrack Chaula kudaiwa kutekwa na watu wasiojulikana, hatimaye wamemtaka

MCHEZAJI maarufu wa klabu ya Dar es Salaam Gymkhana, Kiki Ayonga ameshinda taji la mashindano ya mwisho wa mwezi ya UAP Insurance. Ayonga ameibuka kidedea

Huu ni msongo wa mawazo kwa watu walio kazini. Kwa kawaida, husababishwa na mazingira ya kazi, uzito wa kazi na uwezo wa mtu kuimudu kazi.

DEREVA Yassin Yasser amesema yuko kamili kwa ajili ya kutetea ubingwa wake wa mbio za magari ya Iringa baada ya gari yake Ford Fiesta R5