Ligi Kuu Bara… Ngoja tuone inakuwaje

Leo jioni inapigwa mechi moja tu ya Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji Fountain Gate dhidi ya Kagera Sugar, lakini sasa ni kwamba kesho kipute cha ligi hiyo kinaendelea kwa michezo mitatu ikikutanisha timu zilizopo nafasi tofauti tofauti zikiwania pointi tatu. Mapema saa 8 mchana kuna mchezo utapigwa kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa…

Read More

UJENZI OFISI KUU WAKALA WA VIPIMO KUKAMILIKA JANUARI 2025

  Veronica Simba, WMA Dodoma Imeelezwa kuwa ujenzi unaoendelea wa Ofisi Kuu ya Wakala wa Vipimo (WMA) unatarajiwa kukamilika Januari 2025. Mwakilishi wa Mtendaji Mkuu wa WMA, Karim Zuberi amemweleza hayo Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Kaspar Mmuya aliyefanya ziara kujionea maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo eneo la Medeli jijini Dodoma, Septemba 27,…

Read More

Cheza Beach penalties leo unyakue mamilioni

  Najua hukuwahi kufikieia siku moja unaweza ukapiga penalty tu na ukashinda mamilioni, Sasa basi Meridianbet wamekuletea mchezo mpya wa kibabe unaoitwa Beach Penalties ambapo unaondoka na mkwanja kwa kupiga penalty. Mchezo huu utakupa fursa ya kupiga penalty 5 za kibabe na kila penalty itakua na Odds zake kabambe, Hivo kadri utakavyofanikiwa kuweka penalty zako…

Read More

‘Serikali iangalie sera zisizo rafiki kwa wazalishaji’

Dar es Salaam. Serikali imetakiwa kuangalia sera zisizo rafiki kwa wazalishaji hapa nchini na iweke miundombinu rafiki ya barabara ili kurahisisha usafirishaji. Wito huo umetolewa na Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Kampuni ya  Alaf Limited Tanzania,  Hawa Bayumi, baada ya  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko kutembelea banda la kampuni hiyo…

Read More

Ligi ya Championship kuendelea tena kesho

BAADA ya Ligi ya Championship kuanza kwa kishindo na kushuhudiwa timu tano tu kati ya 16 zikiibuka na ushindi katika mechi za raundi ya kwanza, wikiendi hii kazi inaendelea tena baada ya jana kupigwa michezo mitatu, kesho kazi itakuwa kwenye michezo mingine mitatu kwenye viwanja vitatu tofauti. Katika mechi za wiki zilizopigwa, ni Mtibwa Sugar,…

Read More

Ramani kumfanya msichana atimize ndoto zake hii hapa

Dar es Salaam. Wakati mikakati ikiendelea kufanywa na wadau kuhakikisha mazingira rafiki kwa msichana kupata elimu na kufikia ndoto zake, msisitizo umetolewa wa ushirikiano wa makundi tofauti kufanikisha hilo. Msisitizo unatolewa kipindi ambacho nchi inashuhudia kuendelea kuwapo kwa ndoa za utotoni na ukatili wa kijinsia, ambao ni chanzo cha kuwafanya mabinti wengi kushindwa kuendelea na…

Read More

Kocha Azam ajiweka pabaya akilia na marefa

KOCHA wa Azam FC, Rachid Taoussi ameonja joto ya Ligi Kuu Bara kwa mara ya kwanza baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Simba kwa mabao 2-0, lakini akaonyesha wazi kutofurahishwa na uamuzi wa refa Herry Sasii na wasaidizi wake katika mechi hiyo iliyopigwa jana usiku kwenye New Amaan Complex, Zanzibar. Taoussi aliyekumbana na kipigo cha…

Read More