Chanzo, hatari ya wanafamilia kuchukiana

Katika jamii zetu, familia imeendelea kuwa nguzo muhimu ya malezi, upendo, na mshikamano. Hata hivyo, kumekuwa na ongezeko la visa vya familia kuvunjika kutokana na kutokuelewana, chuki zilizokomaa, na ukosefu wa mawasiliano kati ya wazazi na watoto au kati ya ndugu wa tumbo moja. Migogoro hii ina athari kubwa na imeendelea kuleta kwa baadhi ya…

Read More

WMA YAPANGA KUNG’ARA SHIMUTA – MICHUZI BLOG

Ikiwa imebaki miezi miwili kuelekea mashindano ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma,Taasisi na Makampuni Binafsi ( SHIMUTA) ambayo yamepangwa kufanyika katika Viwanja vya CCM Mkwakwani mkoani Tanga kuanzia tarehe 10 hadi 24 Novemba,2024, Wakala wa Vipimo (WMA)imefanya bonanza la michezo leo Agosti 31,2024, katika viwanja vya Tcc Chang’ombe (Gwambina) Jijini Dar es Salaam…

Read More

Dk Nchimbi, Masoud wakwamisha mdahalo wa makatibu wakuu wa vyama

Dar es Salaam. Katika hali isiyotarajiwa, mdahalo uliopangwa kuwahusisha makatibu wakuu wa vyama vitano vya siasa nchini, umeshindwa kufanyika. Mdahalo huo uliopangwa kurushwa kwenye kipindi cha Medani za Siasa cha kituo cha luninga cha Star TV jana Agosti 31, 2024 ulitarajiwa pia kumuhusisha Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ambaye hakutokea. Kushindwa kufanyika…

Read More

ERB Marathon kukusanya fedha ya Walimu wa Sayansi

  Na Chalila Kibuda ,Michuzi TV Bodi ya Usajili ya Wahadisi nchini (ERB) imeandaa mbio  ERB Marathon  for Stem kwa ajili ya kuchangisha fedha ambazo zitatumika katika kugharamia walimu wa wa Sayansi wanaojitolea katika Shule za Sekondari ili kuongeza idadi Wahandisi nchini. Hayo ameyasema Msajili wa Bodi hiyo Mhandisi Bernard Kavishe wakati alipozungumza na Wahariri…

Read More

Gamondi, Mzize wana siri nne

WAKATI mashabiki wa Wydad Casdablanca ya Morocco wakivamia ukurasa wa straika chipukizi wa Yanga, Clement Mzize anayehusishwa na timu hiyo sambamba na ile ya Kazier Chiefs ya Afrika Kusini, kocha mkuu wa klabu hiyo, Miguel Gamondi amebainisha mambo manne aliyonayo kwa mchezaji huyo. Mashabiki wa Wydad walivamia ukurasa wa Instagram wa Mzize wakimkaribisha katika timu…

Read More