Serikali yaipongeza Sahara Spark, yawaahidi kuwashika mkono

  SEREKALI imesema kuwa itaendelea kutoa mazingira wezeshi kwa wabunifu na wavumbuzi katika masuala ya Teknolojia ili kuinua na kampuni changa za kibunifu ‘Startup’. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo yamesemwa leo tarehe 27 Septemba, 2024 na Dk. Amos Nungu, Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi (Costech), kwenye onesho la…

Read More

Mkakati kusaidia rika balehe waanzishwa

Dar es Salaam. Katika kusaidia kupunguza vifo vya mama na mtoto na kuimarisha afya ya uzazi kwa vijana balehe kati ya miaka 10 mpaka 19 walio ndani na nje ya mfumo wa shule, Taasisi ya Apotheker imeanzisha mradi wa Afya-Tek utakaowakusanya kupitia vilabu na kampeni kidijitali. Miongoni mwa changamoto zinazolikabili kundi hilo ni pamoja na…

Read More

Biteko Aipongeza Alaf Kwa Huduma Bora

Naibu Waziri Mkuu Dkt. Dotto Biteko (kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Alaf Limited Tanzania, Hawa Bayumi (kulia) wakati wa ufunguzi wa Maonyesho ya Kimataifa  ya Viwanda (TIMEXPO 2024) yanayoendelea katika Ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam. Na Mwandishi Wetu, Michuzi tv NAIBU Waziri Mkuu Dkt. Dotto Biteko ameelezea…

Read More

TAMASHA KUBWA LA BIA TANZANIA, #SERENGETIOKTOBAFEST 2024, LIMERUDI TENA.

Mabibi na mabwana, Wapenda bia, Wapenda vibe, na wapenzi wa tamaduni za Kitanzania, Tamasha kubwa la Serengeti Oktoberfest lililokuwa likisubiriwa kwa hamu sana limerejea, na mwaka huu, UKUBWA NA UBORA wa #SerengetiOktobaFest2024 haukuwahi kutokea Kabla!. Mwezi huu wa Oktoba, #SerengetiOktobaFest itakuwa sherehe kubwa itakayoangazia uhalisia wa Mtanzania na kuamsha uhai wa utamaduni wa Kitanzania kupitia…

Read More

DAWA YA KUMFANYA MWANAUME WAKO ATULIE NDANI YA NDOA

Mimi ni Binti wa miaka 27, tumejaliwa kupata watoto wawili mimi pamoja na mume wangu, kipindi kabla sijapata hata mtoto mmoja mume wangu alikuwa anawahi kutoka kazini. Tulikuwa tunapendana sana, tulibahatika kupata mtoto mmoj, mume wangu alifurahi sana, tukaa miaka mitatu tukabahatika kupata mtoto wa pili wa kiume . Siku zikaenda, miaka ikapita baada ya…

Read More

Usher agombana na Kevin Hart jukwaani baada ya kuvamia tamasha lake bila mualiko

Kevin Hart alishangaza watazamaji huko Inglewood, California kwenye tamasha la Usher hii ni baada ya mchekeshaji huyo kutumbuiza bila shati, akimuiga Usher na kuimba ‘Nice & Slow.’ Usher alijiunga haraka na Hart jukwaani, na kumuuliza ‘Unafanya nini?!’ Hart  kisha alitania kuhusu makubaliano ya kuimba wimbo huo, kabla ya kuondoka hatimaye akazua maneno mengi mitandaoni. ‘Katika…

Read More

TANZANIA’S BIGGEST BEER FESTIVAL, #SERENGETIOKTOBAFEST 2024, IS BACK – MWANAHARAKATI MZALENDO

Ladies and gentlemen, beer enthusiasts, good vibe seekers, and lovers of Tanzanian culture, the much-anticipated Serengeti Oktoberfest is back, and this year, #SerengetiOktobaFest2024 is set to be BIGGER and BETTER than ever before. In October, #SerengetiOktobaFest will be a grand celebration that highlights Tanzanian authenticity and brings Tanzanian culture to life through an incredible mix…

Read More

Mashambulizi yaua watu takriban 700 Lebanon – DW – 27.09.2024

Katika kipindi hiki kukiripotiwa mapigano kati ya Israel na Hezbollah, maafisa waandamizi wa Israel wametishia kurudia mashambulizi kama ilivyotokea kwa Gaza katika ardhi ya Lebanon ikiwa Hezbollah wataendelea na mashambulizi yao, jambo linalozua hofu zaidi. Alhamisi Shirika la Kimataifa la Uhamiaji lilikadiria kuwa zaidi ya watu 200,000 wameyakimbia makazi yao nchini Lebanon tangu Hezbollah kuanza…

Read More