BITEKO AZINDUA MICHEZO SHIMIWI MKOANI MOROGORO

Morogoro 📍 Michezo ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) imefunguliwa rasmi kuzikutanisha timu zinazowajumuisha watumishi wa serikali kutoka kwenye wizara, taasisi, wakala za serikali, ofisi za wakuu wa mikoa, halmashauri, pamoja na manispaa. Uzinduzi huu umefanywa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Biteko aliyeambatana…

Read More

Washiriki uchaguzi serikali za mitaa zingatieni kanuni zote za uchaguzi – Karia Magaro

Msimamizi wa Uchaguzi ngazi ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita ndg Karia Rajabu Magaro Septemba 26,2024 ametoa maelekezo kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unatarajiwa kufanyika Novemba 27,2024. Katika Kikao hicho kilichowakutanisha Watendaji wa Kata, Watendaji wa Vijiji, Wawakilishi wa vyama vya siasa, Asasi za Kiraia, Wazee maarufu na Viongozi wa dini, Magaro amewasihi wajumbe…

Read More

“Dkt.Tulia amerejesha furaha” Mbunge Fyandomo akoshwa na ushindani,burudani ya Ngoma za asili

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya Suma Fyandomo, amesema mashindano ya ngoma asili yanayoendelea jijini Mbeya yameibua ari na nguvu kwa vikundi na wasanii kuendelea kutoa burudani kupitia ngoma asili ambazo zilionekana zikiendelea kufifia kutokana na nguvu ya muziki wa kizazi kipya (Bongo flava). Ameeleza hayo wakati akiongea Ayo TV pamoja na Millardayo.com jijini…

Read More