VINANA MAKUNDI YA TK WAMETAKIWA KUTUMIA FURSA YA KUJIANDIKISHA KWENEYE DAFUTARI ILI WAWEZE KUPIGA KURA

  SINGIDA  KIONGOZI  wa Makundi Muhimu TK Movement Mkoa wa Singida,Ndg Ahmed Misanga (alivaa kofia) amewataka vijana kutumia fursa ya kujiandikisha katika Daftari la Mpiga kura wa Serikali za mitaa ili kutoa fursa ya Kuchagua viongozi wanaowahitaji.Misanga ameyasema hayo wakati alipokutana na vijana Mkoa wa Singida ikiwa ni kuwahamasisha vijana kujiandikisha kutimiza haki ya kupiga…

Read More

CHAGUENI VIONGOZI WAADILIFU-PINDA – MICHUZI BLOG

Na Mwandishi Wetu, MLELE  Mbunge wa Jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi mhe. Geophrey Pinda amewataka wananchi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuchagua viongozi waadilifu ambao hawataiingiza jamii kwenye matatizo yakiwemo yale ya sekta ya Ardhi.    Mhe Pinda amesema hayo katika Kikao cha Halmashauri ya CCM kata…

Read More

Mkuu wa Dawati awaasa wanafunzi kuhudhuria Masomo kikamilifu,awasihi walimu kufuatili mienendo ya watoto

Katika kuhakikisha watoto wanapata elimu na kusikilizwa kero zao zinazowakabili wanafunzi katika Wilaya Nyamagana Mkoa wa Mwanza Mkuu wa dawati la jinsia na watoto wilaya hiyo ameendelea kutoa Elimu ambapo amefika katika Shule ya Msingi Kanindo ambapo amewataka wanafunzi kuhudhuria kikamilifu masomo yao huku akiwataka walimu kufuatilia changamoto za wanafunzi hao ili kuzifahamu na kuzitatua….

Read More

Mila potofu zinavyoongeza mimba za utotoni Shinyanga

Shinyanga. Inasikitisha! Ndivyo unavyoweza kueleza katika simulizi za maumivu za wasichana walioozeshwa na wengine kuzalishwa wakiwa na umri wa miaka 13 hadi 15 mkoani hapa. Kwa umri huo, wanapaswa kuwa shuleni, lakini wamejikuta wakitishwa mzigo wa kulea familia na wengine kuhudumia ndoa kutokana na baadhi ya mila zisizofaa mkoani humo kuwakandamiza na kupitia changamoto za…

Read More

Azam FC bado haijapata dawa kwa Simba

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC wameendelea kuonyesha ubora wao msimu huu wa mashindano 2024/25 wakiwa chini ya kocha, Fadlu Davids kwa kuibuka na ushindi wa tatu mfululizo katika ligi bila ya kuruhusu bao baada ya kuichapa Azam mabao 2-0 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Katika michezo mitano, mitatu ya ligi na miwili ya…

Read More

Serikali imedhamiria kuhakikisha inaboresha sekta ya Usafiri kwenye nyanja zote – Kanali Evans

Tanzania imeungana na mataifa mengine duniani katika kuadhimisha siku ya usarifi wa maji pamoja na Miaka 50 ya uanachama wa shirika la bahari duniani huku serikali ikizungumzia mipango ya kuboresha miundombinu ikiwa ni pamoja  na upanuzi wa bandari mbali mbali hapa nchini. ‘Akizungumza katika maadhimisho hayo ambayo kitaIfa yamefanyika mkoani mara kwa niaba ya waziri…

Read More