Msimamizi Uchaguzi Kasulu ametoa maelezo Uchaguzi kuzingatia 4R za Rais Samia

Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri yaWilaya ya Kasulu, Dkt. Semistatus H. Mashimba ametoa maelekezo ya Uchaguzi waSerikali za Mitaa wilayani humo kwa kutumiamfumo unaoakisi 4R za Mhe. Rais Dkt. SamiaSuluhu Hassan kwa kushirikisha makunditofauti katika jamii. Tukio hilo limefanyika leo  Alhamisi Septemba26, 2024   katika Ofisi za Makao Makuu yaHalmashauri hiyo eneo la Nyamnyusi nakuhusisha…

Read More

Jesca azidi kuonyesha makali | Mwanaspoti

NYOTA wa JKT Stars, Jesca Ngisaise ameendelea kutikisa kwenye Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam BD) akifunga pointi 38 kwenye mchezo dhidi ya Pazi Queens kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay. Jesca alifunga pointi hizo katika maeneo ya mitupo mitatu ‘three points’ 18 na ‘asisti’ saba, akifuatiwa na Wade Jaha aliyefunga pointi 12, huku…

Read More

Bilo ataka Pamba ipewe mechi saba Bara

KOCHA wa zamani wa Stand United na Gwambina, Athuman Bilal ‘Bilo’ amesema matokeo inayoyapata Pamba Jiji ni kutokana na ugumu na ushindani mkali uliopo Ligi Kuu msimu huu huku akiwataka mashabiki kuacha presha na kuipa muda timu hiyo. Bilo alisema matokeo iliyoyapata timu hiyo mpaka sasa ni sahihi na yanastahili kutokana na ugeni wake kwenye…

Read More

Fahamu msongo unavyochangia magonjwa yasiyoambukiza

Dar es Salaam. Msongo wa mawazo ‘stress’ ni hali ya shinikizo la kiakili au la kihisia linalotokana na mahitaji yanayofikiriwa. Hali hii huleta mfadhaiko wa akili anaoupata mtu kutokana na shida, tabu, dhiki, matatizo au changamoto zinazomkabili katika maisha ya kila siku. Katika jamii nyingi, hasa za Kiafrika tumekuwa na mitazamo tofauti kwa mtu mwenye…

Read More

Nne Bara bado hakijaeleweka | Mwanaspoti

WAKATI Ligi Kuu Bara ikiingia raundi ya sita hadi sasa kati ya timu 16 zinazoshiriki msimu huu ni nne tu ambazo hazijaonja ladha ya ushindi. KenGold inayoshiriki Ligi Kuu Bara kwa msimu wa kwanza, kichapo cha juzi cha bao 1-0, ilichokipata kutoka kwa Yanga kimeifanya timu hiyo ya Mbeya kupoteza michezo yote mitano iliyocheza hadi…

Read More

MIKOA, HALMASHAURI ZAAGIZWA KUSHIRIKI MAONESHO YA VIWANDA

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza mikoa na hamlashauri zote nchini kuhakikisha viwanda vilivyo katika mamlaka zao vinashiriki katika maonesho ya biashara ya kimataifa. Dkt. Biteko amesema hayo leo Septemba 26, 2024 Jijini Dar es salaam wakati akimwakilisha Makamu…

Read More