Pombe, energy ni balaa kwa ogani

Dar es Salaam. “Nimeshazoea, kwa sasa siwezi kufurahia kunywa pombe kali bila kuchanganya na energy drink (kinywaji cha kuongeza nguvu), pasipo kufanya hivyo ninahisi kama kinywaji changu kinapungua ladha,” anasema mmoja wa vijana akiwa katika moja ya maduka ya kuuza vinywaji jijini Dar es Salaam. Huyo ni mmoja kati ya vijana ambao wamekuwa na utaratibu…

Read More

Kagera Sugar, Fountain Gate patachimbika Bara

MAKOCHA wa Fountain Gate na Kagera Sugar wametambiana kwa kila mmoja kuhitaji pointi tatu katika mchezo wa Ligi Kuu Bara unaopigwa leo kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, mjini Babati Manyara  kutokana na wachezaji wa pande zote mbili kuwa kwenye morali nzuri. Wenyeji wa mchezo huo, ni Fountain na ni pambano pekee linalopigwa leo katika mfululizo…

Read More

50 CENT KUMUANIKA DIDDY NETFLIX – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Hatua ya hivi karibuni ya kukamatwa kwa mwanamuziki na mfanyabiashara wa nchini Marekani, Sean Combs maarufu Diddy, imegeuka fursa kwa mwanamuziki 50 Cent pamoja na Netflix ambao wanetangaza kutoa tamthilia kuhusu biashara ya usafirishaji wa binadamu, ulaghai na tuhuma za unyanyasaji wa kingono dhidi ya gwiji huyo wa muziki wa Bad Boy Records.  …

Read More