Wafunga maduka wakigoma kuuza dhahabu Benki Kuu

Geita. Wafanyabiashara wa madini katika Soko Kuu la Dhahabu Geita wamefunga maduka wakipinga uamuzi wa kutenga angalau asilimia 20 ya dhahabu inayozalishwa na kuiuzia Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Katika soko hilo, kuna zaidi ya wafanyabiashara 50 wanaonunua dhahabu, ambao wamesema hawakuhusishwa kwenye uamuzi huo wakisema kwa aina ya biashara wanayofanya inawawia vigumu kutekeleza sheria…

Read More

KILUPI : AWATAKA VIONGOZI WA DINI KUKEMEA UKABILA

NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR. KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Organazesheni CCM Zanzibar Omar Ibrahim Kilupi amewasihi viongozi wa dini mbalimbali nchini kukemea tabia za baadhi ya wanasiasa waohamasisha siasa za udini,ukanda na ukabila. Kauli hiyo ameitoa wakati akiwahutubia waumini wa dini ya kikiristo katika hafla ya kutimiza miaka 30 ya Kwaya Mtakatifu Michael Malaika…

Read More

Rais Samia azindua kitabu cha maisha ya Hayati Sokoine

Na Mwandishi wetu Rais Dk. Samia Suluhu Hassan leo Septemba 30, 2024, amezindua Kitabu kuhusu Maisha na Uongozi wa Hayati Edward Moringe Sokoine, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania mwaka 1977 -1980 na 1983- 1984, uzinduzi huo umefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam. Akizungumza katika hafla ya…

Read More

Washtakiwa waliokuwa wanakabiliwa na mashtaka ya kumbaka binti wa Yombo Dovya, wamehukumiwa kifungo cha maisha jela

WASHTAKIWA waliokuwa wanakabiliwa na mashtaka ya kumbaka na kumuingilia kinyume na maumbile binti wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam wamehukumiwa kifungo cha maisha jela. Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma jana baada ya kuwatia hatiani kwenye mashtaka yaliyokuwa yakiwakabili. Washtakiwa ambao kwenye video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii wakati wakifanya unyama…

Read More

Netanyahu:Hakuna eneo tusiloweza kulilenga Mashariki ya Kati – DW – 30.09.2024

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameiambia Iran ambayo ndio mfadhili mkuu wa makundi yanayopambana na Israel ya Hamas na Hezbollah kwamba hakuna eneo lolote huko Mashariki ya Kati wasiloweza kulifikia huku akiwaonya watu wa Iran kwamba utawala wao unalitumbukiza eneo hilo kwenye giza na vita. Iran ambayo imesema haitokaa kimya bila kujibu  vitendo vya Israel …

Read More