Viongozi upinzani wafunguka ishu ya ‘kuungana’

Dar es Salaam. Wakati Kiongozi mstaafu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe akivichorea ramani vyama vya upinzani ili kukishinda Chama cha Mapinduzi, baadhi ya viongozi wa vyama hivyo wamesema ni wazo zuri lakini wana hofu kuhusu utekelezaji wake. Baadhi ya viongozi hao wamesema hofu hiyo inatokana na kilichojitokeza mwaka 2015 katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa),…

Read More

SI MCHEZO: Baleke hapa kazi anayo!

KAZINI kwa mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Jean Baleke kuna kazi. Unajua kwa nini? Ni kutokana na viwango vya Clement Mzize na Prince Dube ambao wanaonekana kufiti vilivyo katika safu ya ushambuliaji ya Yanga kwa sasa chini ya kocha Miguel Gamondi. Pia kumbuka yupo Mzambia, Kennedy Musonda ambaye ana msimu wa tatu kikosini, huku…

Read More

Msimamizi Uchaguzi Kasulu “tutasimamia 4R za Rais Samia”

Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri yaWilaya ya Kasulu, Dkt. Semistatus H. Mashimba ametoa maelekezo ya Uchaguzi waSerikali za Mitaa wilayani humo kwa kutumiamfumo unaoakisi 4R za Mhe. Rais Dkt. SamiaSuluhu Hassan kwa kushirikisha makunditofauti katika jamii. Tukio hilo limefanyika leo  Alhamisi Septemba26, 2024   katika Ofisi za Makao Makuu yaHalmashauri hiyo eneo la Nyamnyusi nakuhusisha…

Read More

Makonda: Vitongoji 186 vya Arusha kupelekewa umeme

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Arusha (RC), Paul Makonda amesema mradi wa kupeleka umeme katika vitongoji 186 wenye thamani ya zaidi ya Sh78 bilioni utawezesha kila mwananchi wa mkoa huo, kunufaika na huduma ya nishati hiyo. Amesema kwa sasa vitongoji vyenye umeme ni 1,039 hadi lakini katika mradi ukitekelezwa utawezesha kufikia hadi 1,225…

Read More

PATA MSHIKO NA MECHI ZA EUROPA LEO

ALHAMISI ya leo kama kawaida mechi za EUROPA zinaendelea baada ya jana kushuhudia mitanange mizito ikipigwa. Nafasi ya kuibuka Milionea ni yako leo. Ingia na ubashiri sasa. Mapema kabisa Fenerbahce atamkaribisha kwake Union St. Gilloise huku nafasi ya kuondoka na ushindi ndani ya Meridianbet akipewa mwenyeji akiwa na ODDS 1.62 kwa 5.29. Mechi zote mbili…

Read More

Kuongezeka kwa Halijoto Kuharibu Edeni ya Kilimo ya Mkoa wa Kashmir wa India – Masuala ya Ulimwenguni

Nne kwa tano ya wakazi wa Kashmir wanategemea kilimo. Hata hivyo, wimbi hili la joto linaharibu mazao, kutia ndani zafarani maarufu. Credit: Umar Manzoor Shah/IPS na Umar Manzoor Shah (Srinagar, india) Alhamisi, Septemba 26, 2024 Inter Press Service SRINAGAR, India, Septemba 26 (IPS) – Karibu asilimia 60 ya kilimo cha Kashmir kinategemea maji ya mvua…

Read More

Aliyekosa 200,000 ya matibabu sasa kufikishwa Muhimbili

Mbeya. Hatimaye, Pascolina Mgala alliyekuwa ameshindwa kutibiwa kwa kukosa Sh200,000, sasa atafikishwa katika Hospitali ya Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi. Hatua hiyo inatokana na uongozi wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kuiona taarifa yake kupitia Gazeti la Mwananchi na hivyo kumsaidia kupata matibabu zaidi. Pascolina (20) mkazi wa Kijiji cha Nambinzo…

Read More