Ujenzi Daraja la Jangwani mbioni kuanza

Dar es Salaam. Serikali imesema Oktoba mwaka huu itasaini mkataba na mkandarasi atakayejenga Daraja la Jangwani. Kwa mujibu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), ujenzi huo unatarajiwa kutumia miezi 24 hadi kukamilika baada ya mkataba kusainiwa. Tanroads imeeleza hayo leo Septemba 26, 2024 katika mkutano na wahariri na waandishi wa vyombo jijini Dar es Salaam,…

Read More

Wenye ndugu makaburi ya Ufi Ubungo Maziwa ujumbe wenu huu hapa

Dar es Salaam. Zaidi ya watu 100 kutoka maeneo mbalimbali wamejitokeza kutambua makaburi ya ndugu zao walizozikwa katika eneo Ufi, Ubungo Maziwa jijini Dar es Salaam. Makaburi hayo yanahamishwa ili kupisha upanuzi na ujenzi wa barabara ya Ufi (Ubungo Maziwa- Shekilango, inayotakiwa kujengwa kwa kiwango cha lami. Katika eneo hilo makaburi yote yaliyopo karibu na…

Read More

UTENDAJI WA PSPTB WAPONGEZWA NA WAJUMBE WA BARAZA

Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imefanya kikao cha Baraza la wafanyakazi leo ili kujadili mafanikio, mafanikio, changamoto na njia za kuweza kutatua changamoto zilizojitokeza wakati wa bajeti mwaka uliopita ya 2023/2024. Akizungumza kwenye kikao hicho Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wataalamu Ununuzi na Ugavi Godfred Mbanyi amesema baraza ni chombo kinachoundwa na…

Read More

Madumu ya petroli yalivyookoa watu 29 kuzama Ziwa Victoria

Mwanza. Watu 29 wamenusurika kifo baada ya mtumbwi wao kuzama Ziwa Victoria huku wakitaja madumu ya petroli kunusuru maisha yao. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa akizungumza leo Septemba 26, 2024 na waandishi wa habari amesema boti hiyo imezama saa 11:10 jioni ya jana Jumatano ikitokea Mwalo wa Kirumba jijini…

Read More

VIONGOZI WA DINI WAKEMEA VURUGU KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MTAA

Na Linda Akyoo-Siha Viongozi wa Madhehemu mbalimbali ya Dini  katika Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro wamesema hawategemei kuona Vurugu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika November 27,2024 bali wanataka kuona Amani ikitawala  na kuvitaka  vyama vyote vyama vya Siasa vitakavyo shiriki  katika chaguzi hizo kuchukuliana kama ndugu. wametoa kauli hiyo September 26,2024 katika…

Read More

NDOA ZA UTOTONI BADO MTIHANI MKOANI SHINYANGA

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Tatizo la ndoa za utotoni katika mkoa wa Shinyanga bado ni kubwa kiasi cha kutishia usatwi wa maisha ya wasichana waliopo katika mkuo huo kuendelea na elimu pamoja na shughuli zingine za kiuchumi. WADAU kutoka mashirika ya Kutokomeza Ndoa za Utotoni Tanzania(TECMN), umetembelea kituo kinachofanya kazi ya kuokoa, kulea na kuwaendeleza…

Read More

‘Boni Yai’ kubaki mahabusu, hatima yake Oktoba Mosi

Dar es Salaam. Serikali imekwamisha tena uamuzi wa hatima ya dhamana ya meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu ‘Boni Yai’ baada ya kuibua maombi mengine mapya kuwa wanataka kuwasilisha kiapo cha ziada leo Alhamisi Septemba 26, 2024. Kutokana na maombi hayo mapya ya Serikali, mvutano mkali uliibuka baina ya mawakili wa pande zote….

Read More