
Picha: CRDB Benki yafanya Mkutano huu unaolenga kuimarisha Ushirikiano
Ni Benki ya CRDB ambapo Septemba 25, 2024 wakiwa chini ya uongozi wa Makamu Mwenyekiti wa Bodi, Prof. Neema Mori, na Mkurugenzi Mtendaji wetu, Abdulmajid Nsekela, walikutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa juu wa Citibank kando ya Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa 79. Mkutano huo unalenga kuimarisha ushirikiano kati ya Benki yetu na…