PROF. MWAMILA AITAKA NELSON MANDELA KUENDELEZA UBUNIFU

  Aliyekuwa Makamu Mkuu wa kwanza Taasisi ya Prof. Burton Mwamila akiongea na watumishi na wanafunzi wa taasisi hiyo wakati wa mjadala wa wazi kuhusu malengo ya uanzishwaji wake  jijini Arusha. ….. ALIYEKUWA Makamu Mkuu wa kwanza Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof. Burton Mwamila amewetaka wahadhiri, wabunifu na watumishi…

Read More

Wanaume washauriwa kutumia uzazi wa mpango ‘Vasectomy’

Dar es Salaam. Wanaume nchini wameshauri kutumia njia ya kisasa ya uzazi wa mpango ya kufunga mirija inayopitisha mbegu za kiume, kwenda kukutana na yai la mwanamke ili kutoa fursa ya kulea watoto waliowazaa kwa kuwapa mahitaji yanayotakiwa. Imeelezwa kutokufanya hivyo kwa kundi hilo na kuwaachia wanawake pekee, wakati mwingine ni chanzo cha kuendelea kuzaa…

Read More

NAIBU WAZIRI SANGU AWAFUNDA WACHEZAJI WANAOSHIRIKI SHIMIWI MOROGORO, ATAKA USHINDI

  Na. Lusungu Helela -Morogoro Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Deus Sangu amekutana na kufanya mazungumzo na wachezaji wa michezo mbalimbali wanaoshiriki SHIMIWI kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambapo amewataka Wachezaji hao kuhakikisha wanarudi na ushindi Naibu Waziri Mhe.Sangu ametoa…

Read More

Kocha Mchenga ataja kilichowatibulia | Mwanaspoti

KOCHA mkuu wa Mchenga Star, Mohamed Yusuph pointi walizofungwa robo ya tatu na JKT ndizo zilizochangia kupoteza mchezo huo kwa vikapu 70-65 licha ya vijana wake kucheza vizuri kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay. Katika mchezo huo, timu zote zilianza taratibu huku zikisomana na robo ya kwanza kufungana pointi  21-21. Hata hivyo, robo ya pili, JKT…

Read More

Mkandarasi mzawa achechemea mradi wa HEET

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omar Kipanga ameuagiza uongozi wa Kampuni ya ukandarasi ya Comfix kufika ofisini kwake Dodoma Oktoba 2, 2024 kufuatia kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa kampuni hiyo kwenye utekelezaji wa mradi wa ujenzi katika Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT). Kampuni hiyo imepewa kazi…

Read More

CCM YAKOSHWA NA USIMAMIZI MIRADI YA MAJI MUWSA

Linda Akyoo – Moshi Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kilimanjaro Ndugu Patrick Boisafi ameambatana na wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa wametembelea mradi wa  Maabara ya kisasa ya kupima ubora wa Maji ambao umetekelezwa na wataalamu wa ndani kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi (MUWSA) na kuridhishwa na utekelezaji…

Read More