Utamu upo kati Azam vs Simba

KUNA kitu kinakwenda kutokea usiku wa leo pale Amaan Zanzibar. Azam inakwenda kuikaribisha Simba kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara ambayo kiufundi utamu uko pale kati kwenye kiungo. Katika mechi kadhaa zilizopita timu hizo zimekuwa na ufanisi mkubwa kwenye eneo hilo kutokana na aina ya mastaa waliosajiliwa. Azam chini ya Fei Toto, Adolf Mtasingwa, James…

Read More

Viongozi wa dini wahimiza kusimamia ulinzi wa amani nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza viongozi wa Dini nchini kuendelea kusimamia misingi ya malezi na makuzi ya kwa watoto ili kuhakikisha tunu ya amani iliyopo nchini inalindwa na kuhifadhiwa. Dkt. Biteko amesema hayo wakati akizungumza katika ufungaji wa Kanisa la Pentecostal Assemblies of God (Tanzania) uliofanyika Jijini Dodoma,…

Read More

SERIKALI INAENDELEA KUBORESHA BARABARA ZA KAVUU

Mbunge wa Jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda ameshiriki kikao cha halmashauri ya CCM kata ya Mamba wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi. Katika kikao chake Mhe. Pinda aliwaeleza wajumbe wa mkutano huo, namna serikali ya Awamu ya Sita inavyotekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi…

Read More

Diarra aweka rekodi Afrika | Mwanaspoti

KIPA wa Yanga, Djigui Diarra, ameingia anga za makipa bora Afrika akila sahani moja na Sipho Chaine wa Orlando Pirates ya Afrika Kusini kwa kucheza mechi nne za hatua ya awali katika Ligi ya mabingwa Afrika bila kuruhusu bao lolote. Makipa hao wawili wametumia dakika 360 za mechi nne za raundi ya kwanza na ya…

Read More

Kisa bao 1-0, Gamondi airudisha Yanga Dar usiku

USHINDI wa bao 1-0 ambao haukufurahisha mashabiki wa Yanga, umemfanya kocha mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi kuamua kuirudisha timu Dar es Salaam usiku kwa nia ya kuweka mipango mipya kwa mchezo ujao dhidi ya KMC. Yanga ilipata ushindi huo mwembamba mbele ya vibonde wa Ligi Kuu KenGold kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya na…

Read More

Russia inavyochomoza katika uwekezaji Tanzania

Tanzania imeendelea kuwa kituo cha uwekezaji Afrika, huku wadau wakieleza namna wananchi wanavyoweza kunufaika na uwekezaji huu. Pia, wadau wametaka hatua zinazofuata baada ya usajili kutochukua muda mrefu ili wananchi waone matunda ya kile kinachoripotiwa kuongezeka kupitia uzalishaji wa ajira ili kukwamua vijana wengi waliopo mtaani. Hayo yamebainishwa wakati ambao Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC)…

Read More