Je, Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Wakati Ujao Utafanya Mifumo ya Kimataifa Iliyopitwa na Wakati? – Masuala ya Ulimwenguni

Muonekano mpana wa Ukumbi wa Mkutano Mkuu wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Siku zijazo. Credit: UN Photo na Dawn Clancy (umoja wa mataifa) Jumatatu, Septemba 30, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Septemba 30 (IPS) – Wakati viongozi wengi wa dunia waliohudhuria Mkutano wa Uzinduzi wa Umoja wa Mataifa wa Wakati Ujao—tukio la…

Read More

NBAA yawanoa watumishi wa NAOT Dodoma

  BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) inaendesha warsha ya mafunzo ya siku tano kwa watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) kwa lengo la kuhakikisha wanaendana na mabadiliko ya viwango vya kikaguzi vya Kimataifa katika ukaguzi wao. Warsha hiyo inajadili masuala muhimu kama viwango vya ukaguzi, utoaji wa…

Read More

Masauni ataka magereza kuchangamkia kilimo

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, amehimiza maboresho ya kimfumo, kimuundo na kitaasisi katika Jeshi la Magereza nchini, ili kuliongezea uwezo wa uzalishaji wa mazao ya kilimo, ambayo yana soko la uhakika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Ruvuma … (endelea). Waziri Masauni amesayasema hayo tarehe 30 Septemba 30, 2024 wakati wa ziara yake…

Read More

VIONGOZI WA DINI NACHINGWEA KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea mhandisi Chionda Kawawa amewaomba viongozi wa dini kuhamasisha wananchi wajitokeze kujiandikisha na kujitokeza kugombea na kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa/vijiji na vitongoji unaotakiwa kufanyika 27/11/2024.Viongozi wa dini na Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea wapata semina ya namna gani ya kuhamasisha wananchi wajitokeza kujiandikisha kwenye…

Read More

BASHE: MFUMO WA TMX NDIYO MWELEKEO

SERIKALI imeanza kutumia mfumo wa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) kwa zao la Korosho kwa msimu wa mauzo mwaka huu unaoanza hivi karibuni ili kumlinda mkulima kwa kupokea malipo moja kwa moja kutoka kwa Vyama Vikuu vya Ushirika badala ya mzunguko kupitia Vyama vya Msingi (AMCOS). “Ni Lazima tuwe na mfumo imara wa kujua zao…

Read More

MAFUNZO YA VIONGOZI WANAWAKE YAFUNGWA

Na Khadija Kalili, Michuzi Tv Mwenyekiti wa Washiriki wa mafunzo ya kozi ya ‘Sustainable and Inclusive Women Leadership and Management’ (SIWOLEMA) Training Program yaliyofanyila kuanzia tarehe 22 hadi 28 Septemba 2024, yamefungwa. Akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wahitimu Mwenyekiti wa Wahitimu wa mafunzo hayo Naomi Zegezege amesema kuwa serikali ya Jamhuri ya Muungano…

Read More