Lissu afunguka madai ya Tigo kutoa mawasiliano yake

Dar es Salaam. Wakati Kampuni ya Millicom iliyokuwa ikimiliki chapa ya Tigo, ikidaiwa kufichua taarifa za simu za Tundu Lissu kwa mamlaka za Serikali, Mbunge huyo wa zamani wa Singida Mashariki (Chadema) amemtaka wakili wake kuanza taratibu za kisheria ili kubaini wahusika wa shambulio dhidi yake. Lissu ametoa msimamo huyo akisema: “Tunahitaji kujua na kuambiwa…

Read More

Teknolojia mpya yatumika kujenga maghala Ruvuma

Ruvuma. Imeelezwa kuwa, maghala 28 ya nafaka  yanayojengwa chini ya Wizara ya Kilimo mkoani Ruvuma, yanatumia teknolojia bora na ya kisasa. Meneja Miradi wa Kampuni Alaf Limited, Julius Nalitolela amesema hayo jana Jumanne Septemba 24, 2024 baada ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa maghala hayo eneo la…

Read More

Bandari ya Mbambabay kufungua fursa kati ya Tanzania, Malawi

Mbinga. Rais Samia Suluhu Hassan amesema licha ya kuanza ujenzi wa Bandari ya Mbambabay, wanatarajia kuzungumza na Serikali ya Malawi kuhusu ushirikiano katika huduma za bandari hiyo. Amesema hatua hiyo inalenga kufungua milango ya ushirikiano wa kibiashara kupitia bandari hiyo kwa kuwa itahudumia mizigo inayotoka Malawi. Rais Samia amesema hayo baada ya kuweka jiwe la…

Read More

Polisi waendelea kuchunguza vifo vilivyotokea msituni Handeni

Dar es Salaam. Wakati Jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi wa vifo vya watu watatu vilivyotokea katika msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel, uliopo wilayani Handeni mkoani Tanga, familia imesema maziko yatafanyika Jumamosi, Septemba 28, 2024. Jonais Shao (46), Mkaguzi wa Ndani katika Halmashauri Wilaya ya Korogwe, mkazi wa Bagamoyo wilayani humo, mwanaye Dedan Shao…

Read More

Mmoja auawa na mwili wake kutelekezwa kichakani Kigoma

Kigoma. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Maneno Bufa, mkazi wa Gezaulole ameuawa na watu wasiojulikana, kisha mwili wake ukiwa na majeraha na kutelekezwa eneo la relini, jirani na chanzo cha maji cha Nyakageni, Manispaa ya Kigoma Ujiji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Filemon Makungu amekiri kutokea kwa tukio hilo. “Nipo ziarani, nitakaporejea nitatoa…

Read More

Chavita wataka kushirikishwa uchaguzi wa serikali za mitaa

Shinyanga. Chama cha Viziwi Tanzania (Chavita) kimeiomba Serikali kuhakikisha wakalimani wa lugha ya alama wanakuwepo kwenye shughuli ya uboreshaji daftari la wapigakura na upigaji wa kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani. Kwa mujibu wa Chavita, watu wenye ulemavu nchini wanakadiriwa kufikia 5,347,397, kati yao viziwi ni 539,186. Wito huo umetolewa…

Read More