‘Wanaume washirikishwe kikamilifu uzazi wa mpango’

Dar es Salaam. Imeelezwa ushiriki wa wanaume katika masuala ya uzazi wa mpango ni muhimu na utakuwa na manufaa zaidi ukionekana. Hayo yamelezwa leo Jumatano, Septemba 25, 2024 na Mkurugenzi wa Shirika Shirika la Marie Stopes Tanzania, Patrick Kinemo katika mjadala wa mtandaoni wa Mwananchi X space. Mjadala huo umeandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communications…

Read More

EDGAR: Mashine ya mabao, tumaini la Fountain

EDGAR William ni miongoni mwa maingizo mapya kwenye kikosi cha Fountain Gate msimu huu na tangu msimu huu umeanza tayari ameonyesha ni mshambuliaji hatari kwa kufumania nyavu za wapinzani jambo linalompa kiburi kocha wa timu hiyo, Mohamed Muya. Nyota huyo ameingia moja kwa moja kwenye mfumo wa Muya huku akicheza katika nafasi mbalimbali uwanjani ikiwemo…

Read More

Nyundo ajitetea kesi ya ‘waliotumwa na afande’

Dodoma. Mashahidi wawili wa upande wa utetezi wametoa ushahidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma katika kesi ya kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam. Kesi hiyo ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 inayosikilizwa faragha mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Zabibu Mpangule inawakabili askari…

Read More

Yanga kimoja kwa mbinde, Coastal yalala tena

BAO pekee la kichwa lililowekwa kimiani dakika ya 13 na beki wa kati, Ibrahim Hamad ‘Bacca’ jana liliiwezesha Yanga kupata ushindi wa pili mfululizo wa Ligi Kuu Bara na kuchupa kutoka nafasi ya 13 hadi ya saba ikiisogelea Simba ambayo usiku wa leo inashuka uwanjani kucheza na Azam FC. Huo ni ushindi wa pili wa…

Read More

Tahadhari yatolewa matumizi vidonge vya P2

Dar es Salaam. Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu (UNFPA), limeeleza matumizi ya vidonge vya P2 sio njia ya uzazi wa mpango, bali hutumika kwa dharura. Mbali na hilo, imeelezwa moja ya changamoto iliyopo kuhusu elimu ya afya ya uzazi wa mpango ni kutojitosheleza kwa taarifa kuhusu suala hilo, hususani kwa vijana….

Read More

Pamba yavunja mkataba wa Mkanwa Biashara United

SAA chache baada ya Biashara United ya Mara kutangaza kuvunja mkataba na kocha mkuu, Henry Mkanwa, imebainika kuwa chanzo cha sakata hilo ni kutakiwa na Pamba Jiji ya Mwanza. Mkanwa aliyejiunga na Biashara United, Agosti Mosi, mwaka huu, akichukua mikoba iliyoachwa na Amani Josiah aliyetimkia Geita Gold, amedumu kwa siku 52 ndani ya wanajeshi hao…

Read More

Muunganisho Muhimu Kati ya Mabadiliko ya Tabianchi na Afya ya Akili – Masuala ya Ulimwenguni

Sehemu ya Pigeon, Mtakatifu Lucia. Watafiti wanasema masuala kama vile kuongezeka kwa joto la bahari, mmomonyoko wa ardhi na hali mbaya ya hewa sio tu kwamba yanaathiri mazingira – yanaleta janga la afya ya akili. Credit: Alison Kentish/IPS na Alison Kentish (mtakatifu lucia) Jumatano, Septemba 25, 2024 Inter Press Service SAINT LUCIA, Septemba 25 (IPS)…

Read More

Serikali Yaanzisha Mchakato wa Kuridhia Mikataba ya Kimataifa.

  Na Mwandishi Wetu ,Mara Serikali kupitia wizara mbili zenye dhamana ya mawasiliano na uchikuzi Tanzania bara na Zanzibar zimeanzisha mchakato wa kuridhia mikataba ya kimataifa ya kuhifadhi mazingira ya usafiri wa bahari kwa kusimamia ulinzi wa sekta hiyo pamoja na kuendesha vyombo kwa usalama. Hayo ameyasema Naibu Katibu Mkuu wa Wizara  ya Miundombinu, Mawasiliano…

Read More