PROF. SHEMDOE ASHIRIKI UVUNAJI SAMAKI MRADI WA KISOKO

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe, ameshiriki shughuli za uvunaji wa samaki aina ya Sato katika Vizimba vilivyopo eneo la Kisoko ili kushuhudia hali ya Samaki hao ikiwemo ukubwa wake na shughuli za uuzaji wa Samaki hao ulivyofanyika katika eneo hilo. Akizungumza, leo Septemba 25, 2024 mkoani Mwanza alipotembelea eneo hilo…

Read More

WANAHARAKATI WAHIMIZA ELIMU KUTOLEWA KUKOMESHA MILA KANDAMIZI

WANAHARAKATI wa Jinsia na Maendeleo wameiomba Serikali pamoja na taasisi mbalimbali kutoa elimu kwa jamii ili kufanya mageuzi na kuachana na mila kandamizi ambazo zimekuwa zikimnyanyasa mwanamke. Ombi hilo wamelitoa leo Septemba 25,2024, katika viunga vya mtandao wa Jinsia Tanzania Mabibo-Jijini Dar es Salaam,wakati wakijadili mada isemayo “Je!Ni kwa namna gani Mila na Tamaduni zinawakandamiza…

Read More

Keyekeh afichua jambo Ligi Kuu Bara

KIUNGO wa Singida Black Stars, raia wa Ghana, Emmanuel Keyekeh amesema licha ya kuanza vizuri msimu huu na kikosi hicho, lakini bado ana kazi kubwa ya kufanya, huku akiweka wazi siri ya mwenendo mzuri na timu hiyo ni ushirikiano uliopo kwao. Nyota huyo amejiunga na kikosi hicho msimu huu akitokea FC Samartex ya kwao Ghana…

Read More

Tanzania yatoa vipigo Kriketi T20

TIMU ya Taifa ya Kriketi ya Tanzania imeshinda mizunguko 20 bila upinzani mkubwa na kujiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia. Michuano ya kufuzu fainali hiyo inafanyika kwenye Viwanja vya Gymkhana, jijini Dar es Salaam na Jumanne Tanzania iliibamiza Cameroon kwa wiketi tisa. Katika mchezo huo, Cameroon ndiyo iliyoanza kubeti na…

Read More

DIVISHENI YA MIPANGO OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAENDESHA MAFUNZO MAALUMU YA UAANDAJI WA MPANGO NA BAJETI.

Na Mwandishi wetu Divisheni ya Mipango Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali inaendesha mafunzo ya uandaaji mpango na bajeti na utekelezaji wake kwa maafisa bajeti kutoka Divisheni, Vitengo na Ofisi za Mikoa za Mwanasheria Mkuu wa Serikali, mafunzo hayo ya siku 3 yanafanyika Jijini Arusha kuanzia tarehe 25 hadi 27 Septemba, 2024. Mafunzo hayo yameandaliwa…

Read More

Madina apigia hesabu Morocco | Mwanaspoti

MCHEZA gofu mahiri wa Tanzania, Madina Iddi anajiandaa na mashindano ya Afrika ya mchezo huo yatakayofanyika Agadir, Morocco, Novemba mwaka huu. Madina ambaye ameibuka mshindi katika viwanja mbalimbali vya gofu Afrika akitwaa mataji manne na kuifanya Tanzania kushika nafasi ya pili kitimu, alisema amewapania wenyeji Morocco waliiondoa nchini wakiwa nafasi ya pili, huku Tanzania ikimaliza…

Read More