
DKT. BITEKO AZITAKA WIZARA, TAASISI NA WAKALA SERIKALINI KUTENGA BAJETI YA KUTOSHA – SHIMIWI
Wasiotuma washiriki watakiwa kujieleza SHIMIWI yalia na kushuka idadi ya vilabu vinavyoshiriki Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati WAZIRI, Taasisi, Mashirika, wakala za Serikali zimetakiwa kutenga Bajeti ya kutosha kwa ajili ya kushiriki Michezo ya SHIMIWI ili kukidhi malengo na misingi ya kuanzishwa kwa kwa michezo hiyo na kuleta tija. Agizo…