Tanzania, China kugeukia ushirikiano wa kimkakati

Dar es Salaam. Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi amesisitiza kuwa uhusiano na China haupaswi kutanguliza tu mafanikio ya kiuchumi ya muda mfupi bali pia kubadilika na kuwa ushirikiano wa kimkakati wa muda mrefu, ambao utanufaisha mataifa yote mawili. Akizungumza kwenye maadhimisho ya miaka 75 ya kuanzishwa kwa Jamhuri ya Watu wa China,…

Read More

Mtasingwa kikwazo cha Mkolombia Azam FC

KIUNGO mkabaji wa Azam FC Mcolombia, Ever Meza amesema yupo sehemu sahihi ndani ya kikosi hicho, licha ya changamoto ya namba kutokana na uwepo wa Adolf Mtasingwa akimtaja kuwa ndiye anampa changamoto kwa sasa kikosini. Meza ametua Azam FC akitokea Leonnes FC ya kwao Colombia ameliambia Mwanaspoti kuwa, licha ya kukosa namba ya kudumu kikosi…

Read More

Viongozi wataka uwekezaji zaidi katika Nishati Jadidifu – DW – 25.09.2024

Viongozi wa dunia wametoa wito wa uwekezaji zaidi katika nishatijadidifu ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi huku mataifa yanayoendelea yakisema yanahitaji msaada wa kifedha kufanya mabadiliko hayo. Akizungumza katika Mkutano wa kilele wa Kimataifa wa Nishati Jadidifu, unaofanyika pembezoni mwa Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Rais wa Kenya William Ruto, alitoa hoja…

Read More

Hii hapa sababu, chimbuko na maana ya Wangoni kugaragara

Songea. Ingawa kugaagaa  au kugaragara wengine wanakuhusisha na mitazamo hasi, kwa kabila la Wangoni ni utaratibu unaobeba tafsiri lukuki zinazoashiria heshima na adabu. Mtindo wa kugaragara chini kwa mujibu wa Wangoni, ni tafsiri halisi ya kiwango cha mwisho cha kushukuru, kuomba radhi na kufurahi. Hata hivyo, kitendo cha kugaragara kimeibua mijadala mitandaoni baada ya Waziri wa…

Read More

Rais Mwinyi: SMZ kujenga uwanja mpya wenye viwango vya FIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inajipanga kujenga uwanja mkubwa wa michezo utakaokuwa na vigezo vinavyokubalika na Shirikisho la Soka Duniani FIFA pamoja na Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF. Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 25 Septemba 2024 Ikulu, Zanzibar alipokutana na…

Read More

Madaktari wa JKCI waitwa Zambia kufanya upasuaji wa moyo

  Uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye sekta ya afya umeendelea kuipaisha Tanzania ambapo sasa madakati bingwa wanne wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete JKCI wako nchini Zambia wakiendelea kufanya upasuaji wa moyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zambia … (endelea). Timu hiyo ya madakari hao itashirikiana na wenzao wa Hospitali ya Taifa…

Read More

JKT yatangaza nafasi za kujitolea, utaratibu huu hapa

Dodoma. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo ya JKT ya kujitolea kwa mwaka 2024, ambapo usajili utaanza Oktoba Mosi, 2024. Kaimu Mkuu wa Tawi la Utawala JKT, Kanali Juma  Mrai ameyasema hayo leo Jumatano, Septemba 25, 2024  alipokuwa akitangaza  wito wa kujiunga na mafunzo ya JKT kwa kujitolea mwaka 2024 …

Read More

Heri Sasii kuiamua ‘Mzizima Dabi’

MWAMUZI wa kati, Hery Sasii ndiye atakayesimamia mchezo wa kuvutia na kusisimua wa Ligi Kuu Bara wa ‘Mzizima Dabi’ kati ya wenyeji Azam FC dhidi ya Simba utakaopigwa kesho kwenye Uwanja wa New Complex Amaan visiwani Zanzibar saa 2:30 usiku. Taarifa ambazo Mwanaspoti imepenyezewa zinaeleza kwamba, Sasii ndiye mwamuzi wa kati aliyependekezwa na kamati ya…

Read More

Rais Samia azitaka Halmashauri kutoa huduma bora kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amezitaka Halmashauri kutumia ofisi mpya zinazojengwa katika maeneo yao, kuboresha maeneo ya kazi na kutoa huduma bora na kutakua kwa wananchi Akizungumza leo Septemba 25,2024 wakati akizindua jengo la ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma, amesema ofisi hizo zitumike…

Read More