Vijana 12 wabuni roboti inayopiga picha za video

Dodoma. Changamoto ya wapigapicha kusimama muda mrefu wakichukua picha za matukio mbalimbali, imewasukuma vijana 12 wa ngazi tofauti za elimu kutengeneza roboti linaloweza kufanya kazi hiyo. Ubunifu huo umekuja kutokana na hatua ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuonyesha roboti Eunice wakati ilipokuwa ikiwasilisha hotuba ya bajeti yake bungeni Dodoma, Mei mwaka…

Read More

JKT yawatangazia vijana nafasi za mafunzo ya kujitolea

  JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limetoa wito kwa vijana wote wa Tanzania Bara na Visiwani kuomba nafasi za kujiunga na Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kujitolea katika mwaka wa fedha 2024 huku ikisisitizwa kuwa nafasi hizo utolewa bure kabisa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu…

Read More

Zanzibar yaingiza Sh10 bilioni usajili wa meli 840

Unguja. Kwa kipindi cha miaka minne, Mamlaka ya Usafiri Baharini Zanzibar (ZMA) imesajili meli za nje 800 na za ndani 40, hivyo kukusanya Sh10.167 bilioni. Hayo yamebainishwa leo Septemba 25, 2024 na Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Nadir Abdulatif katika mkutano wa 16 wa Baraza la Wawakilishi alipojibu maswali ya wajumbe wa baraza…

Read More

Wafungwa 746 wanufaika na msamaha wa Parole Tanga

Tanga. Jumla ya wafungwa 746 mkoani hapa wamenufaika na msamaha Bodi ya Parole, wakiwamo 375 waliopata msamaha wa Rais baada ya kutathiminiwa na wengine 371 wakimaliza vifungo vyao kwa kusimamiwa na bodi hiyo. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian wakati akizindua Bodi ya Parole ya mkoa huo ofisini kwake jana…

Read More

Rekodi, wasifu wambeba Basigi Simba Queens

BAADA ya kusemekana Simba Queens ipo kwenye mazungumzo na makocha kutoka nchi tano tofauti akitajwa Birhanu Gizaw, Kocha wa Ethiopia ni kama dili limegeuka na sasa wamemalizana na kumgtambulisha Yussif Basigi raia wa Ghana aliyekuwa akiinoa Hasaacas Ladies ya nchini humo. Awali ilielezwa kuna uwezekano mkubwa wa Gizaw kuja kuwa mrithi wa aliyekuwa kocha Mkuu…

Read More