TBL na Tanzania Red Cross wazindua mpango wa mafunzo kwa waendesha pikipiki kupunguza ajali barabarani

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Tanzania Breweries Limited (TBL), kwa kushirikiana na Shirika la Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS), imezindua mpango wa mafunzo na elimu kwa waendesha pikipiki wenye lengo la kuboresha usalama barabarani na kupunguza ajali zinazohusisha pikipiki. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Michelle Kilpin, alieleza kuwa…

Read More

Bibi aliyeuawa kwa kukatwa panga Sengerema azikwa

Buchosa. Sarah Petro (74) aliyeuawa Septemba 22, 2024 kwa kukatwa kwa panga na watu wasiojulikana amezikwa. Maziko yamefanyika Septemba 24, 2024 nyumbani kwake Kitongoji cha Mizorozoro, Kijiji cha Magulukenda, Kata ya Kalebezo wilayani Sengerema. Akizungumza na Mwananchi leo Septemba 25, 2024, Paul Petro ambaye ni mtoto wa marehemu amesema kifo cha mama yake ni cha…

Read More

Fadlu anasa faili la Azam

WAKATI Simba ikijiandaa na kucheza ugenini kesho dhidi ya Azam FC, kocha wa kikosi hicho Fadlu David amefunguka kuwa anazo taarifa zote za wapinzani hao huku mastaa wajitapa hadharani juu ya pambano hilo litakalopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, mjini Unguja Zanzibar. Simba inakwenda kucheza mchezo wa tatu wa ligi, huku Azam ikiwa inaingia…

Read More

KESI MPYA YA UBAKAJI YAMKUTA DIDDY – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Mwanamuziki wa Hip-hop Sean Combs maarufu kama ‘Diddy’ akiwa bado yuko chini ya ulinzi wa jeshi la polisi huku akisubiri kufikishwa Mahakamani kutokana na mashtaka yanayomkabili ya kula njama, kuendesha biashara ya ngono na uhalifu mwingine ikiwemo usafirishaji wa binadamu kwa njia haramu imeibuka tena kesi mpya inayomhusisha Thalia Graves anayedai alibakwa na…

Read More

Hii hapa sababu, chimbuko na maana ya Wangoni ‘kugalagala’

Songea. Ingawa kugaagaa ‘kugalagala’ wengine wanakuhusisha na mitazamo hasi, kwa kabila la Wangoni ni utaratibu unaobeba tafsiri lukuki zinazoashiria heshima na adabu. Mtindo wa kugalagala chini kwa mujibu wa Wangoni, ni tafsiri halisi ya kiwango cha mwisho cha kushukuru, kuomba radhi na kufurahi. Hata hivyo, kitendo cha kugalagala kimeibua mijadala mitandaoni baada ya Waziri wa…

Read More