Straika Fountain Gate katikati ya Maabad, Mgaza

MMOJA wa wachezaji  wanaofanya vizuri Ligi Kuu Bara msimu huu ila hazungumzwi sana ni mshambuliaji wa Fountain Gate FC, Seleman Mwalimu ‘Gomez’, kutokana na kiwango bora anachokionyesha. Gomez aliyesajiliwa na Fountain msimu huu akitokea KVZ ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), msimu uliopita aliibuka mfungaji bora jambo linalosubiriwa kuona rekodi zake zitakuwaje katika kikosi hicho cha…

Read More

Hii hapa sababu, chimbuko na maana ya Wangoni kugalagala

Songea. Ingawa kugalagala (kugaagaa) chini wengine wanakuhusisha na mitazamo hasi, kwa kabila la Wangoni ni utaratibu unaobeba tafsiri lukuki zinazoashiria heshima na adabu. Mtindo wa kugalagala chini kwa mujibu wa Wangoni, ni tafsiri halisi ya kiwango cha mwisho cha kushukuru, kuomba radhi na kufurahi. Hata hivyo, kitendo cha kugalagala kimeibua mijadala mitandaoni baada ya Waziri…

Read More

Mchumba wangu alitupiwa jini na ndugu zake ili nisimuoe

Jina langu ni Ally kutokea Dodoma, Tanzania, nina mchumba wangu ambaye tupo kwenye mahusiano kwa mwaka wa nane huu, sasa tumebahatika kupata mtoto mmoja. Changamoto zilianza baada ya mchumba wangu kupata ujauzito akawa mtu wa kuota ndoto mbaya. Nikampeleka kwa mganga nikaambiwa kuwa ana jini ametupiwa ambaye hataki apate mimba. Nikahangaika nae akapata nafuu, mtoto…

Read More

Kazi ipo kwa Srelio  | Mwanaspoti

WAKATI Srelio ikiwa katika nafasi ya nane kwenye msimamo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), kocha msaidizi wa timu hiyo, Miyasi Nyamoko amesema mchezo wao wa mwisho utakaopigwa kesho dhidi ya Mgulani (JKT) ndiyo utakaoamua wacheze nafasi hiyo. Akizungumza na Mwanasposti katika Uwanja wa Donbosco Oysterbay, Nyamoko alisema kuendelea kushika nafasi…

Read More

CHADEMA NI MAKAMANDA WA MITANDAONI TU HAWANA LOLOTE – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Kupitia mitandao yake ya Kijamii, aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mch. Peter Msigwa ameonesha kushangazwa na mwitikio mdogo wa watu waliokuwa wakihamasisha wananchi kujitokeza kwenye maandamano ya Chadema yaliyokuwa yamepangwa kufanyika Septemba 23, Jijini Dar es salaam. “Watu wanapenda kujiita makamanda hapa kwa mitandao (keyboar heros) wamemuacha mwamba anaandamana…

Read More

Waliochomwa moto Handeni: Ni uhalifu au kisasi?

Tanga/Dar. Mume wa Jonaisi Shao aliyekutwa amefariki dunia pamoja na mwanawe wa kiume na dada wa kazi kwa kuchomwa moto, eneo la msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel, uliopo Kijiji cha Sindeni wilayani Handeni mkoani Tanga, amesimulia mara ya mwisho alipowasiliana naye. Awali, akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 24, 2024 kuhusu tukio hilo…

Read More