Breaking: Waliotumwa na Afande wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela, ‘Kesi ya Binti wa Yombo’

Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma (Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki) leo September 30,2024 imewahukumu kifungo cha maisha jela Washtakiwa wanne wakiwamo Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na Magereza baada ya kuwakuta na hatia katika makosa yote mawili walioshtakiwa nayo la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile Binti Mkazi wa Yombo Dovya,…

Read More

Lukuvi agawagawia vijana mitungi ya gesi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera Bunge na Uratibu), William Lukuvi, ameendelea kuunga mkono kampeni ya kutumia nishati safi ya kupikia kwa kutoa majiko ya gesi kwa timu mbalimbali zinazoshiriki Ligi soka ya Kata katika jimbo la Isimani. Ametoa majiko hayo kwa washindi wa nafasi ya kwanza, nafasi…

Read More

CHAVIZA YAADHIMISHA KILELE CHA WIKI YA VIZIWI

NA FAUZIA MUSSA WAZIRI wa nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais, Harusi Said Suleiman, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inayoongozwa na Dk. Husein Ali Mwinyi itaendelea kutoa kipaumbele kwa watu wenye ulemavu ili kushiriki katika harakati mbali mbali za maendeleo nchini. Akizungumza kwa niaba ya Waziri huyo, katika kilele cha maadhimisho ya…

Read More

SBL WASHIRIKIANA NA CHUO CHA TAIFA CHA UTALII KUBORESHA UJUZI WA UKARIMU KWA VIJANA WA KITANZANIA

Zaidi ya wanafunzi 100 wa ukarimu watanufaika na fursa za mafunzo zilizoboreshwa ambazo zitazidi kuimarisha sekta inayokua kwa kasi ya utalii na ukarimu nchini Tanzania. Serengeti Breweries Limited (SBL) imesaini Hati ya Makubaliano (MoU) na Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) katika kupiga hatua muhimu katika kuboresha mafunzo ya ujuzi wa ukarimu. Ushirikiano huu unalenga…

Read More

Umuhimu wa vijana kushiriki uchaguzi serikali za mitaa

Dar es Salaam.  Uchaguzi wa serikali za mitaa ni tukio muhimu katika kuimarisha demokrasia na ushiriki wa wananchi katika utawala wa nchi yao. Hata hivyo, kuna changamoto ya ushiriki mdogo wa vijana katika michakato ya uchaguzi huo, hali inayohitaji kuangaziwa ili kuliwezesha kundi hilo kuchangia kikamilifu katika maendeleo ya jamii na Taifa kwa ujumla. Kwa…

Read More

Fei: Kila mechi Ligi Kuu Bara ni fainali

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema msimu huu ni mgumu kila mchezo ni fainali hakuna timu ndogo. Kiungo huyo ambaye alifunga mabao 19 msimu ulioisha akishika nafasi ya pili nyuma ya Stephane Aziz Ki wa Yanga aliyeshinda kiatu cha ufungaji bora kwa kuweka kambani mabao 21, hadi sasa timu yake imecheza…

Read More