Mamlaka za ajira zatakiwa kuwatendea haki watumishi

Dodoma. Naibu Waziri (Ofisi ya Rais), Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu amezitaka mamlaka za ajira kuzingatia weledi wakati wa kusikiliza malalamiko ya watumishi ili kuiepushia Serikali gharama pindi malalamiko hayo yanapopelekwa kwenye rufaa. Ametaja miongoni mwa udhaifu wa mamlaka hizo ni kutotoa fursa ya mtumishi kujitetea anapokuwa ametuhumiwa na matokeo…

Read More

FCC yatakiwa kujipanga na soko huru la Afrika

Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi John Simbachawene ameitaka Tume ya Ushindani (FCC) kuongeza udhibiti wa bidhaa bandia ili kuwalinda walaji hasa wakati huu ambao soko huru la biashara Afrika linaanzishwa. Pia, ameitaka kutoa elimu kwa wafanyabiashara wakubwa na wadogo ili waelewe kuhusu masuala ya bidhaa bandia na jinsi…

Read More

Mashirikiano PURA, ZPRA yazidi kuimarika

Mashirikiano kati ya Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ya Tanzania Bara na Mamlaka ya Uthibiti, Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta Zanzibar (ZPRA) ya Zanzibar yameendelea kuimarika kufuatia jitihada za dhati zinazofanywa na uongozi wa Taasisi hizo kutekeleza Hati ya Makubaliano waliyoingia mwaka 2022. Hayo yamedhihirika wakati wa kikao cha menejimenti za…

Read More

Askofu mstaafu Dk Mokiwa atoa ushahidi kesi ya ardhi

Dar es Salaam. Aliyekuwa Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dayosisi ya Dar es Salaam, Dk Valentino Mokiwa, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, jinsi alivyoshiriki mchakato wa kutoa eneo kwa ajili ya kupewa aliyekuwa Askofu wa kwanza wa dayosisi hiyo na Askofu Mkuu wa kanisa hilo, hayati John Sepeku. Hayati Sepeku alipewa na kanisa…

Read More

MAAFISA MAWASILIANO NA WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUONGEZA JUHUDI KUANDIKA HABARI NA MATOKEO YA TAFITI ZA KISAYANSI

Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dodoma Prof. Lughano Kusiluka akiwakilisha mada wakati wa mkutano wa kimataifa wa Maafisa Mawasiliano ya Umma Afrika Mashariki unaofanyika kwa mara ya kwanza Tanzania, Arusha Na.Mwandishi Wetu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka, leo Jumanne tarehe 24 Septemba, amewasilisha mada katika Mkutano wa kimataifa wa…

Read More

Wataalamu wa usalama na amani wafungukia utekaji, mauaji

Dar es Salaam. Wataalamu wa masuala ya usalama na amani katika ukanda wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamesema wana imani na Jeshi la Polisi nchini, huku wakikisitiza lisimamie majukumu yake ya kulinda raia na mali zao. Mbali na msisitizo huo, wamelitaka jeshi hilo kuhakikisha linafanya upelelezi wa kina utakaowezesha kukamatwa waliohusika katika…

Read More