Akutwa amefariki dunia ndani ya gari Magomeni

Dar es Salaam. Mwili wa mwanamume ambaye bado hajafahamika jina lake, umekutwa ndani ya gari ya Range Rover, eneo la Magomeni Mapipa wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Gari hilo lilikokuwa limeegeshwa Magomeni, halina namba ya usajili wa Tanzania. Eneo lililokuwa gari hilo ni maarufu kwa uuzaji wa magari ya aina mbalimbali ambayo huegeshwa kwa…

Read More

kampuni zaidi ya 300 Kushiriki Katika TIMEXPO 2024, Ndege iliyotenezwa Tanzania kuonyeshwa

Zaidi ya kampuni 300 za ndani na nje ya nchi vimethibitisha ushiriki wao katika Maonyesho ya Wazalishaji wa Kimataifa ya Tanzania (TIMEXPO 2024), yaliyopangwa kuanza kesho kwenye Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF). Maonyesho hayo yameandaliwa na Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania…

Read More

Mastraika wamuachia msala Morocco | Mwanaspoti

WAKATI Taifa Stars ikitarajiwa kucheza mechi mbili mwezi ujao za kufuzu michuano ya Afcon 2025 dhidi ya DR Congo, washambuliaji wazawa wamezidi kuuwasha moto katika Ligi Kuu Bara, huku kocha wa kikosi, Hemed Morocco akifunguka ya moyoni. Stars ambayo ilishinda mchezo wa mwisho dhidi ya Guinea kwa mabao 2-1 ikiwa ugenini, ilishuhudiwa mabao yakifungwa na…

Read More

NIMR yaeleza umuhimu wa tafiti

Morogoro. Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR),  Profesa Said Aboud amebainisha umuhimu wa matokeo ya tafiti zinazofanyika kuwasilishwa kwa watunga sera na wafanya uamuzi ili kuboresha huduma za afya. Pia, amesisitiza tafiti hizo zitafsiriwe katika lugha nyepesi inayoeleweka kwa wananchi ili waelewe namna zinavyoweza kuwasaidia. Profesa Aboud amebainisha…

Read More

Wachezaji Coastal wapigwa mkwara wakiivaa JKT Tanzania

KAIMU kocha mkuu wa Coastal Union, Joseph Lazaro amefanya kikao kizito na wachezaji ili kubadili mwenendo mbovu wa timu kabla ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania itakayopigwa kesho, Jumatano. Uamuzi huo wa Lazaro umekuja baada ya kuishuhudia Coastal Union ikipoteza mechi tatu mfululizo, huku ikiwa na pointi moja katika michezo minne…

Read More

Kauli za wadau mwelekeo wa Chadema, Polisi

Dar es Salaam. Wadau na wanazuoni nchini wameshauri Jeshi la Polisi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutafuta suluhu kwa njia ya mazungumzo. Wameeleza hayo baada ya Jeshi la Polisi kuzuia maandamano ya Chadema jana Septemba 23, 2024, huku likiwakamata baadhi ya viongozi na wafuasi wa chama hicho. Chadema ilipanga kufanya maandamano iliyoyaita ya…

Read More

Nani anampisha Mpanzu Simba? | Mwanaspoti

SWALI kubwa ambalo mashabiki wa Simba wanajiuliza kwa sasa ni kwamba ujio wa winga mpya, Elie Mpanzu pale kikosini ni mchezaji gani anakwenda kumpisha? Hiyo inatokana na namna ambavyo walivyokiona kikosi chao mpaka sasa. Simba ambayo katika usajili wa dirisha kubwa msimu huu imeshusha wachezaji wapya 15 wakiwemo wazawa sita na wa kimataifa wanane, hivi…

Read More

Jamii yatahadharishwa kuchanganya dini na siasa

Dar es Salaam.  Jamii imetakiwa kuacha kuchanganya masuala ya siasa na dini kwa kuwa kuwa yanaweza kuleta athari ikiwamo uvunjifu wa amani. Pia, masuala hayo yanaweza kusababisha mkanganyiko na kuzalisha mianya ya wanasiasa kuitumia dini vibaya au watu wa dini kutumia siasa vibaya kwa ajili ya masilahi yao binafsi. Wito huo umetolewa leo Jumanne, Septemba…

Read More

TANZANIA BREWERIES LIMITED NA TANZANIA RED CROSS SOCIETY WAZINDUA MPANGO WA MAFUNZO NA ELIMU KWA WAENDESHA PIKIPIKI

• Lengo ni kuboresha usalama barabarani kwa waendesha pikipiki jijini Dar es Salaam Tanzania Breweries Limited (TBL), kwa kushirikiana na Tanzania Red Cross Society (TRCS), inajivunia kutangaza uzinduzi wa Mpango wa Mafunzo na Elimu kwa Waendesha Pikipiki. Mradi huu utaendeshwa kuanzia Septemba hadi Desemba 2024 na unalenga kupunguza ajali za barabarani zinazohusisha waendesha pikipiki kupitia…

Read More

Wanawake wa Kimaasai wa Tanzania Watumia Suluhu za Hali ya Hewa-Smart Kukabili Ukame – Masuala ya Ulimwenguni

Maria Naeku, mwanamke wa Kimaasai katika kijiji cha Mikese wilayani Mvomero anahudumia bustani yake ya mbogamboga.Mikopo: Kizito Makoye Shigela/IPS by Kizito Makoye (mvomero, tanzania) Jumanne, Septemba 24, 2024 Inter Press Service MVOMERO, Tanzania, Sep 24 (IPS) – Katika jua kali la kijiji cha Mikese katika wilaya ya Mvomero mashariki mwa Tanzania, Maria Naeku mwenye umri…

Read More