
Ndumbaro: Kriketi dunia wanafuzu Dar
SERIKALI imesema kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika mchezo wa kriketi kiasi cha kuaminiwa kuandaa mashindano ya kufuzu Kombe la Dunia kwa upande wa Afrika, yajulikanayo kama ICC Men’s T20 World Cup Sub Regional Africa Qualifier A. Mashindano hayo kwa sasa yanafanyika kwenye viwanja viwili, Uwanja wa Dar es Salaam Gymkhana na Chuo Kikuu cha…