Mahakimu watakiwa kutenda haki ili kujenga imani

Lushoto. Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Tanga, Katarina Mteule amewasihi Mahakimu wakazi kutenda kazi zao kwa weledi, uwazi, haki na uadilifu ili uamuzi wao mahakamani uheshimiwe na wananchi wanaokwenda kwao kutafuta haki. Jaji Katarina amezungumza hayo jana Jumatatu,  Septemba 23, 2024 wakati akifungua mafunzo elekezi kwa Mahakimu wakazi 28 katika Chuo…

Read More

Viongozi wa Chadema waachiliwa kwa dhamana – DW – 24.09.2024

Viongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania Chadema, waliokamatwa jana na jeshi la polisiwakidaiwa kuhamasisha maandamano yaliyopangwa kufanywa na Chama hicho,  wameachiwa huru na kutakiwa kuripoti polisi Septemba 30 mwaka huu, huku wadau wa Habari wakilaani jeshi la polisi kukamata  wanahabari na kulitaka  kuheshimu majukumu ya wanahabari wanapotimiza wajibu wao. Florence Majani ametuandalia ripoti hiyo….

Read More

Mtoto aliyemuua baba yake bila kukusudia aachiwa huru

Geita. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita imemuachia huru Mahele Petro (19), mkazi wa Nyamilembe wilayani Chato mkoani Geita baada ya kukiri kosa la kumuua baba yake kwa kumchoma mkuki shingoni bila kukusudia. Hukumu imetolewa leo Septemba 24, 2024 na Jaji Athuman Matuma, aliyesema Mahakama inamuachia huru mshtakiwa kwa sharti la kutotenda kosa la jinai…

Read More