Burkina Faso yatibua jaribio la mapinduzi – DW – 24.09.2024

Waziri wa usalama wa Burkina Faso Mahamadou Sana amesema katika taarifa iliyosomwa kwenye televisheni ya taifa Jumatatu usiku kuwa walifanikiwa kuzuia majaribio kadhaa ya kuvuruga utulivu wa nchi hiyo. Waziri Sana ameongeza kusema kuwa Luteni-Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba, ambaye aliondolewa madarakani mwaka 2022, ndiye aliyeongoza mpango wa kijeshi wa njama hiyo, huku watu kadhaa wakikamatwa…

Read More

Polisi waweka doria ofisi za Chadema, Muliro atoa sababu

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Jeshi la Polisi kuzima maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yaliyopangwa kufanyika jijini hapa Septemba 23, 2024, baadhi ya askari wameonekana wakizingira ofisi ya makao makuu ya chama hicho Mikocheni. Mwandishi wa Mwananchi aliyefika katika ofisi hiyo leo Septemba 24, 2024 ameshuhudia askari hao waliokuwa wamebeba…

Read More

Sifuri Halisi kufikia 2050 Ucheleweshaji Unahitajika Hatua ya Haraka ya Hali ya Hewa – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni by Jomo Kwame Sundaram (cairo) Jumanne, Septemba 24, 2024 Inter Press Service CAIRO, Septemba 24 (IPS) – Uzalishaji sifuri kamili ifikapo mwaka 2050 unaweka kipaumbele katika kupunguza uimarishaji wa hali ya hewa. Ahadi za kufikia lengo hili la mbali zimeongezeka lakini bila kukusudia zinachelewesha hatua zinazohitajika za hali ya hewa katika muda mfupi ujao….

Read More

Rais Samia ampa agizo Waziri Bashe kuhusu wakulima wa kahawa

Peramiho. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemtaka Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuchunguza madai ya wakulima wa kahawa kukatwa fedha kinyemela na vyama vikuu vya ushirika. Amesema anatambua kuwepo kwa malalamiko hayo yaliyosababishwa na ongezeko la bei ya kahawa mwaka huu. Rais Samia amesema hayo leo Jumanne, Septemba 24, 2024 alipozungumza na wafanyakazi na…

Read More

Mamilioni yako leo kwa kupiga Penalties

  Kama ulifikiri hela ni ngumu kwa kiasi hicho unajidanganya sikia sasa Pale Meridianbet kuna mchezo wa Kasino unaitwa Beach Penalties, Mchezo huu unakupa mkwanja wa kutosha kwa kupiga penalty tu. Kwa kila pigo moja lina odds zake za ushindi ambazo zitajumlishwa na dau lako uliloweka kuchezea, kama ulikuwa unawaza ni mchezo gani wa kucheza,…

Read More