Ari ya kibiashara Ujerumani yashuka kwa miezi minne – DW – 24.09.2024

Ari ya biashara nchini Ujerumani imeshuka kwa mwezi wa nne mfululizo mnamo Septemba, kulingana na uchunguzi uliofanywa huku taifa hilo lenye nguvu kubwa kiuchumi barani Ulaya likijitahidi kujikwamua kutoka mdororo wa uchumi. Faharasi ya taasisi ya Ifo iliyofanya utafiti wa makampuni takribani 1,000 inaonyesha kuwa shauku ya biashara imeporomoka asilimia 85.4 kutoka 86.6 mwezi Agosti….

Read More

Watatu mbaroni wakidaiwa kumuua dereva bodaboda Arusha

Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva bodadoda, Meijo Lemokolo (23), mkazi wa Kijiji cha Orbomba, Wilaya ya Longido mkoani Arusha. Watuhumiwa waliokamatwa ni Omary Jumanne (31) ambaye ni mfugaji, Mohamed Ally (25) na Chricensia Haule (25) ambao ni wakulima wakazi wa Kijiji cha Shimbi wilayani…

Read More

Jumanne ya ODDS kubwa ni leo ndani ya Meridianbet

  Mteja wa Meridianbet leo hii una nafasi ya kujishindia maokoto endapo utabashiri mechi zako kwani ligi mbalimbali zinaendelea. Machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana hapa. Kule Hispania leo kuna michezo mitatu ya LALIGA ambayo inaendelea ambapo Sevilla baada ya kupoteza mchezo uliopita atakiwasha dhidi ya Real Valladolid ambaye yeye ametoka kutoa sare. Meridianbet wanampa nafasi…

Read More

Nchi 33 kushiriki maonyesho ya utalii Tanzania

Dar es Salaam. Takriban nchi 33 zimethibitisha kushiriki maonyesho ya kimataifa ya utalii ya Swahili International Tourism Expo (Site) yanayotarajia kufanyika kati ya Oktoba 11 na 13, 2024 nchini Tanzania. Maonyesho hayo yanatoa fursa kwa Tanzania kuwa na uwezo wa kufikia masoko katika nchi ambazo bado hazijaleta watalii wengi licha ya kuwa na watu wengi….

Read More

BANK OF AFRICA-TANZANIA YAMZAWADIA MSHINDI WA MWISHO WA KAMPENI YAKE YA KIDIGITALI YA “INGIA B-MOBILE UTOKE NA IPHONE 15 ”

Meneja wa Bank of Africa Tanzania Tawi la Arusha Francis Mizambwa, akimkabidhi zawadi ya simu mshindi wa droo ya tatu ya kampeni ya kidijitali ya BOA Innocent Boniphace Kisole katika hafla fupi iliyofanyika tawi la Arusha . Na Mwandishi Wetu MTEJA wa Bank of Africa Tanzania, Innocent Kisole ameibuka mshindi wa I-phone 15 Pro katika…

Read More

KAILIMA AZUNGUMZA NA WAENDESHA BVR DODOMA

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima Ramadhani akizungumza na washiriki wa mafunzo ya waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometriki (BVR) watakaohusika na zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwenye Halmashauri ya Jiji la Dodoma, mkoani Dodoma Septemba 23,2024. Mzunguko wa tano wa uboreshaji wa…

Read More