Benki ya CRDB kushirikiana na wadau kimataifa Mpango wa MADE Alliance Africa kukuza ujumuishi wa Kidijitali kwa Wakulima nchini

Benki ya CRDB inajivunia kutangaza ushirika katika mpango wa uwezeshaji na ujumuishi wa wakulima kidijitali nchini kupitia programu ya  ‘MADE Alliance: Africa’. Programu hiyo inatekelezwa kwa ushirikiano wa MasterCard, Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), pamoja na Serikali, ambapo Dola za Marekani bilioni 300 zinetengwa kusaidia ujumuishi wa kidijitali kwa wakulima barani Afrika.  Kupitia mpango huo…

Read More

Uzalishaji wa Kaboni kutoka AI na Crypto unaongezeka

Credit: Kodfilm/iStock by Getty Images kupitia IMF Maoni na Shafik Hebous, Nate Vernon-Lin (washington dc) Jumanne, Septemba 24, 2024 Inter Press Service WASHINGTON DC, Septemba 24 (IPS) – Je, mali za crypto na akili bandia zinafanana nini? Wote wawili wana njaa ya madaraka. Kwa sababu ya umeme unaotumiwa na vifaa vyenye nguvu nyingi “kuchimba” mali…

Read More

Ukraine yabaini vipuri vya China kwenye silaha za Urusi – DW – 24.09.2024

Mshauri huyo wa Zelensky ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amesema hayo yamebainika baada ya baada ya kuzungumza na makampuni kadhaa ya utengenezaji wa silaha. Ameeleza pia kuwa sehemu muhimu za vifaa vinavyotumiwa katika kuchunguza, droni na makombora pia zimebainika kuwa zilitoka Marekani, Uholanzi, Japan, Uswisi na mataifa mengine ya magharibi. Licha…

Read More

Umuhimu wa elimu kwa waandikishaji wapigakura

Dodoma. Zikiwa zimebaki siku 15 kuanza uandikishaji wa wapigakura. Oktoba 6, 2024 itaanza kutolewa elimu kwa waandikishaji wa wapigakura wa uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, mwaka huu. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi),  Mohamed  Mchengerwa elimu kwa waandikishaji…

Read More

Walichokisema Mbowe, Lema baada ya kuachiwa

Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema watatoa maelezo yao mbele Mahakama baada ya yeye na viongozi wenzake kushikiliwa na kuachia kwa dhamana na Jeshi la Polisi. Mbowe aliyekuwa Kituo cha Osterbay, amesema hayo jana Jumatatu usiku Septemba 23, 2024  alipozungumza na waandishi na wafuasi wa Chadema baada…

Read More

Mkurugenzi wa Elimu wa Wizara aipongeza Green Acres

  SERIKALI imeipongeza shule ya msingi na sekondari, Green Acres ya jijini Dar es Salaam kwa namna ambavyo imekuwa ikifanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kitaifa kuanzia ngazi ya Wilaya hadi taifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu wa Wizara ya…

Read More