Mastraika Prisons wapewa dakika 35 kuimaliza Fountain

Wakati Tanzania Prisons ikitarajia kushuka uwanjani kesho dhidi ya Fountain Gate, benchi la ufundi limetumia zaidi ya dakika 35 za mazoezi ya mwisho kuwafua mastraika wake kwa ajili ya kufunga mabao. Prisons iliyocheza mechi tano hadi sasa haijashinda wala kufunga bao ikipoteza mchezo mmoja dhidi ya Namungo na kesho Jumanne itakuwa katika Uwanja wa Sokoine…

Read More

Wanaanga waliokwama anga za juu kurejea duniani Februari 2025

  CHOMBO cha SpaceX kilichotumwa kuwarudisha wanaanga wawili waliokuwa wamekwama kwenye Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu (ISS), kimetia nanga. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Hata hivyo, chombo hicho kinachoitwa Dragon, ambacho kimefanikiwa kutua salama jana saa 11:30 jioni, kitawarejesha duniani wana anga, Butch Wilmore na Suni Williams, Februari 2025. Wawili hao walifika…

Read More

Israel yazidisha mashambilizi, ikiapa kuiteketeza Hezbollah

  WAZIRI wa Ulinzi wa Israel, Yoav Gallant, amekutana na wanajeshi karibu na mpaka wa Lebanon na kuwaambia watawarudisha raia waliokimbia makazi yao kaskazini mwa Israel kwa ‘njia zetu zote.’ Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Amewaambia wanajeshi kuwa kuuawa kwa kiongozi wa Hezbollah wiki iliyopita, Sayyed Hassan Nasrallah, ‘ni hatua muhimu sana, lakini sio…

Read More

Mayele anavyomisi bato na Aziz KI Yanga

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele mwenye kumbukumbu nyingi nzuri katika ardhi ya Tanzania, ameshindwa kujizuia kwa kueleza miongoni mwa vitu ambavyo anavimisi kutoka kwa Stephane Aziz KI.  Mfungaji bora huyo wa Ligi Kuu Bara 2022/23 alikuwa sehemu ya watazamaji ambao walijitokeza majuzi kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi na kuishuhudia Yanga ikiibuka na…

Read More

DC Linda Salekwa abariki mashindano ya Pool Table….

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt Linda Salekwa ambaye pia ndiye alikuwa Mgeni Rasmi katika Mashindano ya Mchezo wa Pool Table yaliyoandaliwa na Kampuni ya Ryan Company nakufanyika siku ya Leo Mtaa wa Summer Night ili kutafuta Washindi wanne wa Mchezo Huo Mjini Mafinga. Dkt Linda Salekwa Ameupongeza Uongozi wa Ryan company kwa Kuandaa mashindano…

Read More