Mwili wa kijana wakutwa kando ya Barabara ya Mandela

Dar es Salaam. Mwili wa kijana ambaye hajafahamika jina lake, umekutwa kando Barabara ya Mandela eneo la Tabata Relini jijini Dar es Salaam. Tukio hilo limetokea jana Jumatatu Setemba 22, 2024, saa nne mchana baada ya wenyeji wa eneo hilo kumtilia shaka wakidai wamemuona amelala kwa siku nne bila kuamka. Akizungumza na Mwananchi eneo hilo,…

Read More

Gamondi: Wakijichanganya Ken Gold tunawapiga nyingi

Wakati mashabiki wa Yanga wakitambia kikosi chao kushinda kwa idadi kubwa ya mabao dhidi ya Ken Gold,  Kocha Mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamond amesema anachotaka ni pointi tatu, lakini wapinzani wao wakijichanganya watawapiga nyingi. Yanga imekuwa na matokeo mazuri huku ikiwa na mwendelezo bora katika ufungaji mabao baada ya kutupia 19 katika mechi tano…

Read More

Rais Samia asema Waziri wa maji na Katibu Mkuu wake ni wachapakazi,awapa miezi mitatu wananchi kupata maji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Eng Mwajuma Waziri ni wachapakazi sanana wanafanya kazi nzuri hivyo kuwapa miezi mitatu kuhakikisha maji yanapatikana ndani kwa wakazi wa Mtyangimbole kwani tayari mradi huo umefikia asilimia 50% na wananchi wana…

Read More

Kalungwana kortini kwa wizi wa Mita za DAWASA

  EMMANUEL Kalungwana mkazi wa Mbezi Africana, amefikishwa katika mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu shtaka la kuingilia miundombinu ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ambalo ni kosa la uhujumu uchumi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kalungwana amefikishwa Mahakamani hapo na kusomewa shtaka lake na wakili…

Read More

Rais Samia: Kila anayestahili fidia atalipwa

Madaba. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema hakuna mwananchi atakayeguswa na mradi unaotekelezwa na Serikali asilipwe fidia. Ingawa inaweza kuchelewa, amesema Serikali itahakikisha inampa kila mwananchi haki yake anayostahili. Rais Samia ametoa hakikisho hilo la fidia kwa wananchi wakati akijibu ombi la Mbunge wa Madaba (CCM), Dk Joseph Mhagama aliyeomba wananchi watakaopitiwa na ujenzi…

Read More

Serikali yaanzisha mchakato wa kuridhia mikataba ya kimataifa ya kuhifadhi mazingira ya usafiri wa bahari

Serikali kupitia wizara mbili zenye dhamana ya mawasiliano na uchikuzi Tanzania bara na Zanzibar zimeanzisha mchakato wa kuridhia mikataba ya kimataifa ya kuhifadhi mazingira ya usafiri wa bahari kwa kusimamia ulinzi wa sekta hiyo pamoja na kuendesha vyombo kwa usalama. Uharibifu wa mazingira katika upande mmoja wa dunia unaweza kuleta athari kubwa sehemu mbalimbali duniani…

Read More

Ishu ya Mpanzu kucheza Simba ipo hivi!

KAMA ambavyo Mwanaspoti lilikujuza mwanzo mwisho dili la winga mpya wa Simba, Ellie Mpanzu tangu anatoka DR Congo hadi anatua Bongo na kusaini mkataba wa miaka miwili, basi kaa kwa kutulia ufahamu kinachoendelea kwa staa huyo lini ataanza kuonekana rasmi uwanjani. Kumekuwa na mijadala mbalimbali katika vijiwe vya kahawa na mitandaoni huku kila mmoja akisema…

Read More