
Viongozi wa kimila 103 wapewa mafunzo kuhusu mradi wa EACOP
JUMLA ya viongozi wa kimila 103 kutoka makundi ya watu wa asili (VEG-IP) wanaopitiwa na Mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) wamenolewa na kupewa elimu namba mradi huo utatekelezwa kwa kuheshimu mila na tamaduni zao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha …(endelea). Viongozi hao wamepatiwa matunzo hayo katika mkutano…